tiffanykinondoni
Member
- Jan 31, 2018
- 37
- 304
Wasalaam,
Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya Serikali
4. Elimu - Masters
5. Aliwahi kuishi na mwanamke na ana mtoto mmoja wa kike 6 years.
6. Sio mlevi, hanywi pombe kabisa.
Mwanamke anayemtaka
1. Mkristo
2. Awe anaishi Kigamboni
3. Umri 24 - 33
4. Akiwa na mtoto mmoja (Single parent) sio tatizo
5. Awe mfanyakazi au mfanyabiasha
6. Asiwe mlevi
Tafadhali njoo PM kwa walio serious tu.
Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya Serikali
4. Elimu - Masters
5. Aliwahi kuishi na mwanamke na ana mtoto mmoja wa kike 6 years.
6. Sio mlevi, hanywi pombe kabisa.
Mwanamke anayemtaka
1. Mkristo
2. Awe anaishi Kigamboni
3. Umri 24 - 33
4. Akiwa na mtoto mmoja (Single parent) sio tatizo
5. Awe mfanyakazi au mfanyabiasha
6. Asiwe mlevi
Tafadhali njoo PM kwa walio serious tu.