Mambo ya kuoa na kuolewa ni stress tu angalia mfano katika viongozi wetu.
1.Nyerere alikosana na Maria mpaka wakawa wanaishi vyumba tofauti kwa miaka mingi
2.Mwinyi akaamua aonheze Mke wa Pili kuondoa stress,
3.Mkapa ndio kabisa mahusiano yalikuwa kama chui na paka sijui tatizo alivhukua Mke wa Basil Mramba
4.Kikwete,Salma ni Mke wa Pill wa 1 sijui nini kilitokea,
5.Magufuli ndio walikuwa wamisha achana kabisa,Kuwa Rais ndio kuliwaunganisha tena.
6.Samia,ni miaka sasa hawako pamoja na yule mzee!
Bado wavumbuzi wote wakubwa hapa duniani na watu kwenye akili wote hawakuwahi kuoa au kuwa na familia.
Ndoa ni stress,kuwa kama Bilget.