Kama umesoma vizuri masharti yake, mke atafutwaye ni lazima awe anaishi Kigamboni... au kasha-edit?
Mbona hujanigongea LIKE?Heeee! Wenge la usingizi limenifanya nisione hilo sharti, kumbe anawataka wa daslam tu, basi ngoja nikae mbali.
Wewe kaka wewe, unafaa kuwa mke wangu wa pili. Au unaonaje?
Nijibu wewe basi, moyo wangu utulie.Akikujibu uniite!
Anhaaa... kumbe ulijisahau sio? HahaaaUnasemaa!? [emoji56]
Tumsubiri kwanza uliyemuuliza, mimi nitakuja kujazia maelezoNijibu wewe basi, moyo wangu utulie.
Ulevi umenikosesha mume
Astaghafirulilah... nshachanganyikiwa hapa wallahDuh! Huu ulevi wangu umenikosesha mume![emoji848]
Unauumiza moyo wanguTumsubiri kwanza uliyemuuliza, mimi nitakuja kujazia maelezo
Unaeza kuwa rais wa wananchi mil 60 lkn ukashindwa kuingoza mke mmoja.Mambo ya kuoa na kuolewa ni stress tu angalia mfano katika viongozi wetu.
1.Nyerere alikosana na Maria mpaka wakawa wanaishi vyumba tofauti kwa miaka mingi
2.Mwinyi akaamua aonheze Mke wa Pili kuondoa stress,
3.Mkapa ndio kabisa mahusiano yalikuwa kama chui na paka sijui tatizo alivhukua Mke wa Basil Mramba
4.Kikwete,Salma ni Mke wa Pill wa 1 sijui nini kilitokea,
5.Magufuli ndio walikuwa wamisha achana kabisa,Kuwa Rais ndio kuliwaunganisha tena.
6.Samia,ni miaka sasa hawako pamoja na yule mzee!
Bado wavumbuzi wote wakubwa hapa duniani na watu kwenye akili wote hawakuwahi kuoa au kuwa na familia.
Ndoa ni stress,kuwa kama Bilget.
🤣🤣🤣🤣 Kazi ipoAstaghafirulilah... nshachanganyikiwa hapa wallah