malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Mwanamke gani huyo, hafai kabisa, nakushauri mtimueWakuu Kama kichwa Cha habar kilivo eleza hapo juu.....mke wangu kwao nimitaa Kama 20 toka tunapoishi Sasa hivi karibuni kwao wamepata matatizo flani hivo huwenda kuwaona nakushinda kwao Hadi jioni saa kumina moja Sasa anavorudi huja nachakula walichopika kwao yaan hapiki Tena huja nacho icho ili namume ale hicho hicho.......
je nisawa mume kula hicho chakula kilicholetwa namkewe toka kwao badala mke yakuwahi kurudi kwake kupika ye hujanahicho chakula alichokupika kwao ili wale namumewe
Mkuu kabisa mwanamke aliekamilika anarahisisha kupikia kwao moja kwa moja chakula ..cha kula mumewe Hali yakuwa kwake Kuna kila kitu kisa kurahisishaKama tangia uanze kula hujapatwa na tatizo, basi hakuna tatizo.
Shida inanipa sjawahi ona hii tabia yangu nakua mwanamke aende kutembea kushida kwao jioni arudi nachakula kapika huko huko kwao aje wale namumewe badala yake nimke kuwahi kurudi home kutekeleza jukum lakupika nyumbani kwake...Mkuu hilo halina shida kabisa! Labda useme kingine.
Nilimruhusu kwenda shinda kwao kwa maana yakwamba asubuh nimetoka nimekula full ntakula usiku home so maana yake ye aje awahi jioni apike chakula Cha jioni chakula mumewe Sasa kwa akili zake ndio kaja nachakula badala yakuwahi kuja pikaMwanamke mwenye akili timamu kabisa Ame kamili a kichwani hawezi fanya huo upuuzi kabisa.
Yani ushinde kwenu siku nzima..hapana kwakweli
Kwakweli mume wangu nitampikia vinono afe Beki au kipa..nakaanga kitunguu napiga game mara vitunguu sijui vimeungua vikapanda Vikashuka huko mimi huku napiga game.alisikika mtu mmoja akinena kwa lugha
Nimemuoa kwa ndoa tunamiaka7 ya ndoaFanya mambo yawe mepesi we uwe unakula kwa mama ntile unarudi home unakausha misosi anayotokanayo kwao mwachie ale yeye angalizo uwe umeoa kweli kwa ndoa maana huyo nyumbani kwao keshaondoka yeye kwake ni huko mliko na wewe
Nimemzalisha nimke nawatoto watatuDon't complain everything! Angkuw umemzalisha asingeham n watoto wote kwenda kushind nao huko
Mmmh yaaan mko eneo lakaribu kweli ushindwe wahi kwako kupika kumpikia mume badala yake ubebe vyakula toka kwenu kumpelekea mume ale Hali unamuda wakupika upoKama unamwamini mke wako ni sawa
Kuna vitu bro potezea wanawake karibu wote wana tabia hizo
Akienda kwenye sherehe km inamuhusu lazima arudi mara na cake mara na kuku,vinywaji.
Itoshe kusema ni tabia za kike zisizo na madhara sana kwenye mahusiano.
Au mama yake mchawi unaogopa limbwata???
Mkuu sijakulia ktk makuzi yakuona hivo vitu toka kwa mama yangu sjawahi ona kaenda shinda kwao akarudi nachakula chakula sie namzee badala yake huwahi kuja kuandaa chakula..maana wazazi nao niwakazi wa mji tunaoishi pia minamkeKama unamwamini mke wako ni sawa
Kuna vitu bro potezea wanawake karibu wote wana tabia hizo
Akienda kwenye sherehe km inamuhusu lazima arudi mara na cake mara na kuku,vinywaji.
Itoshe kusema ni tabia za kike zisizo na madhara sana kwenye mahusiano.
Au mama yake mchawi unaogopa limbwata???
Wake kama nyinyi sijui tutakuja kuwapata au imekula kwetu tu.Mwanamke mwenye akili timamu kabisa Ame kamili a kichwani hawezi fanya huo upuuzi kabisa.
Yani ushinde kwenu siku nzima..hapana kwakweli
Kwakweli mume wangu nitampikia vinono afe Beki au kipa..nakaanga kitunguu napiga game mara vitunguu sijui vimeungua vikapanda Vikashuka huko mimi huku napiga game.alisikika mtu mmoja akinena kwa lugha
Hovyo hovyo kivip mkuuOna sasa unavyoandika hovyohovyo,Maliza kula kwanza ndo uandike.