Mke/Mchumba anahitajika

😂😂
 
Kamatia fursa hiyo sio unakuwa na wanaume mnazaa mitoto haina akili kama mzabzab🤣🤣🤣🤣
Sijakidhi vigezo 😂

We Mzab tupoteze tu, ukute ni bonge na Eng huko Tanesco
 
Sijakidhi vigezo 😂

We Mzab tupoteze tu, ukute ni bonge na Eng huko Tanesco
Mie wala nisikudanganye namba tuu zilikuwa zinashima bila wasiwasi ila sasa bwana ingia huku mtaani ubadilishe hizo namba kuwa shekeli...aiseee ni shughuli pevu kweli kweli
 
Kaka Engener kila la heri utampata mwenza ila uwe makini kaka Hapa jf kuna matapeli kama wote. Kuna wadada na wakaka ni matapeli huku hatari. Nilikutana na mwingine anasema yeye ni injinia kumbe kiuhalisia ni daktari wa wanadamu halafu tapeli ile mbaya anataka kulelewa.... kila siku vibomu vya hela....
 
Haaa naona umedhamiria kusheherekea mwaka huu siyo kwa assist hizi😀😀
 
Manyara na singida wamekufanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…