musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Very intelligent husband hongera sana mkuuWakuu heshima yenu
Nataka kumkatia mke wangu bima ya NHIF,naomba anaejua utaratibu na gharama zake anijuze,hasa hizi ambazo wanasema ni reviewed
Nafanya hivyo kwa sababu ni mjamzito,lakini pia namna ya kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya ambazo ni wazi atazihitaji sana siku za mbeleni
Napokea ushauri...
Asante mkuuVery intelligent husband hongera sana mkuu
SawaWazo zuri ikiwezekana mkatie na mtoto kabisa itakusaidia sana.
Kile kifurushi cha 192,000 now ni 240,000?Hizi hapa kiongozi
Ooh asanteHizi hapa kiongozi
Mimi nilimkatiaga wife ile ya 192,000 kipindi alipokuwa na mimba miaka 3 nyumba ila sidhani kama hicho kifurushi
Bado nadhani sio ghari sana asanteKile kifurushi cha 192,000 now ni 240,000?
Pia inategemeana na umri wa mhusika, 18-35 ni 432,000Kile kifurushi cha 192,000 now ni 240,000?
Unapewa control number ya amount yote, inalipwa yote kwa pamoja. Na kupata huduma ni baada ya siku 30Naomba kuuliza hivi taratibu za kulipa ni kwa pamoja au mtu unaweza kulipa awamu kwa awamu mana naona pesa ni nyingi hasa kwa sisi wa kipato Cha chini
Nilikuwa sijaona vizuri, kwahyo kutoka 192,000 mpka 432,000 kweli maisha yanakwenda kasiPia inategemeana na umri wa mhusika, 18-35 ni 432,000
Kata mapema mpenzi, maana ukikata wakati anakaribia kujifungua itakusumbua, Bima ukikata haianzi hapohapo kupata huduma, unasubir kwa siku kadhaa ambazo ni kuanzia 30 na kuendelea, kwa maelezo zaidi fika ofc za NHIF zilizopo karibu nawe, au tembelea tovuti yao www.nhif.or.tz kwa maelezo zaidi na utapata mawasiliano yao hapo. Waambie nataka kukata bima sababu inaeleweka usiwaambie kwa sababu mke wangu mjamzito. Kata mapema kuepuka usumbufu na kero plus karahaWakuu heshima yenu
Nataka kumkatia mke wangu bima ya NHIF,naomba anaejua utaratibu na gharama zake anijuze,hasa hizi ambazo wanasema ni reviewed
Nafanya hivyo kwa sababu ni mjamzito,lakini pia namna ya kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya ambazo ni wazi atazihitaji sana siku za mbeleni
Napokea ushauri...