Nafikiria labda imefutwasahihi kabisa, hiyo huduma bure ni siasa tu ila kiuhalisia hakuna hiyo kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiria labda imefutwasahihi kabisa, hiyo huduma bure ni siasa tu ila kiuhalisia hakuna hiyo kitu.
Asante kunitoa tongo tongoKama unataka kucover ghalama za kujifungua haitakusaidia ni mpaka uwe umechangia miaka miwili.
Ila kama unataka kwa ajili ya mama na mtoto pongezi kwako nenda NHIF
Ntazingatia pia ushauri wako
Nenda NHIF uliza utaratibu kuna sheria zilikuwa zinarekebishwa huenda inaweza ikawa mapema zaidi kuliko awaliAsante kunitoa tongo tongo
Mimi. Nilimkatia wife mimba ikiwa na miezi 2 kabla hajaanza clinic wiki mbili toka nilipokata hiyo bima ikawa active mpaka leo anaitumiaNdio maana nikasema nimesikia, sina uhakika kama ni kweli. Afuatilie kujua ukweli.
Kuna baadhi ya watoto wakiwa wachanga inni lake linakuwa halina au halijapata uwezo wa kuondoa Bilirubin, zile red pigments zitokanazo na red cells kuvunjwa vunjwa. katika hali hiyo anapata hiyo jaundice au Manjano.Sababu ya kuumwa manjano ni ipi