Jaman,hivi ni kweli kuwa jf huwez kupata mke? mim najitokeza tena,nahitaji msichana mwenye umri wa miaka 18-25,elim sio tija sana bali awe na shughuli maalumu yani ana uwezo wa kuongeza kipato ktk familia! aliye tayari aniPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.