Bbr wanajf
jamani akinadada shida yangu ni ndogo tu usiku wa kuamkia leo ilikuwa zamu ya mke mkubwa kulala kwake tumeongea mengi sana ila alichonishauri ni ongeze mke mwingine wawe watatu,hivyo basi na mimi natangaza nia kwayoyote aliyetayari tuwasiliane
....hahaha, anataka mke wa pili ayasikie naye machungu ya "mgao!"
Mmh!!!!!! Wanaume wa sikuhizi wala hawana huruma na mikia yao!!!!!!!
Bbr wanajf
jamani akinadada shida yangu ni ndogo tu usiku wa kuamkia leo ilikuwa zamu ya mke mkubwa kulala kwake tumeongea mengi sana ila alichonishauri ni ongeze mke mwingine wawe watatu,hivyo basi na mimi natangaza nia kwayoyote aliyetayari tuwasiliane
....hahaha, anataka mke wa pili ayasikie naye machungu ya "mgao!"
Ukiona hivyo ujue na huyo mkeo kaongeza mwanaume wa TATU
Hayatuhusu. This is your private business.
Ameomba ushauri, kwani huwa tunaomba ushauri kwa public issues?
Mmh!!!!!! Wanaume wa sikuhizi wala hawana huruma na mikia yao!!!!!!!
Bbr wanajf
jamani akinadada shida yangu ni ndogo tu usiku wa kuamkia leo ilikuwa zamu ya mke mkubwa kulala kwake tumeongea mengi sana ila alichonishauri ni ongeze mke mwingine wawe watatu,hivyo basi na mimi natangaza nia kwayoyote aliyetayari tuwasiliane
Ameomba ushauri, kwani huwa tunaomba ushauri kwa public issues?
Heheheiya! Ngoja waamke!