Mke mkubwa amenishauri niongeze mwingine wa tatu

Exactly the advice i will give to a dumb man. Yaani anataka uongeze distance kati yake na wewe! All the best.
 

umewahi kumsikia ASHA MKWIZU????....
 
Kiukweli wewe ni tatizo hata kama unajeuri ya kuwatimizia wote haki zao bado kiuasilia your wife simply mock you.
 
Kiukweli wewe ni tatizo hata kama unajeuri ya kuwatimizia wote haki zao bado kiuasilia your wife simply mock you.

ni mtazamo wako huo mi sijaona ubaya kuongeza jiko kwani mtoto mwenye walezi wengi hapati shida.ikiwa uwezo ninao wakuwahudumia shida iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…