SUPPER GLORY
Member
- Oct 15, 2018
- 9
- 22
Kigezo kikubwa ni umri na mkazi wa Dar haya wadada changamkieni fursa kabla jua halijazama.Habari za asubuhi wana JF?
Awali ya yote, nimetanguliza salamu kwenu nikiwa na matumaini kuwa mko vizuri. Katika chapisho hili, nimependa kutoa hitaji langu kwenu kuwa kupitia jukwaa hili, ninahitaji kumpata mke mtarajiwa ambaye tutajenga pamoja familia. Napenda kumpata mwanamke ambaye anaanzia umri wa miaka 24 hadi 36 maana na mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 36. Itapendeza sana kama mtu huyo atakuwa mkazi wa Dar es Salaam, hii ni kutokana na urahisi wa mawasiliano. Kwa atakayependa kuwa na mimi, tuwasiliane kwenye namba 0755632388.
Ahsanteni.
Dar inakuwa rahisi kuonana.Mbona wa mikoani tunatengwa???
we njoo kwangu,Mbona wa mikoani tunatengwa???
Njoo PM tuyajenge,Wapi uko mkuu nichangamkie fursa
Nakupenda! Weka namba yakoTuyajenge tu hata hapa mkuu
Njoo hapa, ata mikoani kuna wanaume usikonde..!Mbona wa mikoani tunatengwa???
Unacheka nini, si umetaka utongozewe hapaHahaha,jf kuna mengi
Una chura?Mbona wa mikoani tunatengwa???
Hahaha
Weka picha!Zaidi ya churaa
RUBBISHPiga 07888888888
Ya chura yako!Ya ninii?
Mbona wa mikoani tunatengwa???
Bora napata faraja kdgo..wa mikoani tumetupwa mbali
Unaitwa unajifanya kugoma shauri yako..!Wapi mkuu