Hebu mchunguze alifanyiwa ukeketwaji? Maana kama simi limepunguzwa itakuwa ngumu sana kumfikisha.Wakuu,
Kwa zaidi ya miezi sita rafiki yangu wa karibu amekuwa akinieleza juu ya uhusiano wake na binti/dada mmoja mwenye umri ya miaka 27.
Sifa za dada.
Mrefu, maji ya kunde, mchangamfu, wowo kiasi fualani, mcha Mungu tangu utotoni, mpenda watu hasa watoto.
Kwa sifa hizo hapo juu zilimfanya rafiki yangu wa miaka 30 kumchumbia huyu dada mnamo March 2016 na kumvisha pete ya uchumba baada ya kujuana zaidi ya mwaka mmoja.
Baada tu ya kumvisha pete ya uchumba basi dada huyu na rafiki yangu wakafikia hatua nzuri ya mahusiano kiasi cha kuanza kugegedana na kuelezana ukweli wa kila kitu na kuwa wazi zaidi kwa kila mmoja.Katika kuelezana ukweli wao kuna kitu rafiki yangu kinamfanya awaze sana kila kukicha.
Hapa nanukuu maneno ya rafiki yangu.
" Nimekuwa nikukutana na mke wangu mtarajiwa mara kadhaa, lakini kila nikikutana nae ananambia sijawahi kumfikisha kileleni na huwa hafurahii penzi hata kidogo. baada ya kuumdadisi sana akanambia hana hisia ukeni hata kidogo, hata mimi nikifika huwa ajui lamba aone mapigo yangu yanapoongezeka. Nimejiuliza lambda hana nguvu za kike. Sijui nifanyeje?."
Hayo ndio maneno ya rafiki yangu. Msaada wenu wandugu tunusu haya mahusiano yawe mazuri.
Naungana nawe mkuu! Waende tu kwa daktari.dah....sasa yeye alichumbiaje bila kugegeda kwanza?
anyways yote maisha mie naona jamaa wala hasiangaike kwenda kwengine huyo mwanamke yeye aendelee nae na wakaone dokta wa wanawake.
Wanafkiri ni kufumba na kufumbua tu..oohKufikishwa kileleni kazi ya ziada jamanii
Hehehehe na wanaume washagaona ni kazi wameamua kujiridhisha wao tu ahahah,lakin kuna wanaume wengine akiingiza tu dudu yake ni kama sumaku jamani unakojoa haahhaWanafkiri ni kufumba na kufumbua tu..ooh
Hahahaaa hilo tatizo mkuu...mwanaume anatakiwa awe na mtazamo wa kurithisha upande wa pili zaid kuliko yeyeHehehehe na wanaume washagaona ni kazi wameamua kujiridhisha wao tu ahahah,lakin kuna wanaume wengine akiingiza tu dudu yake ni kama sumaku jamani unakojoa haahha
Nakuambia mwanamke kukojoa awe ametulia hasa kisaikolojia la sivyo hakojoi ng'ooo,tena akikutana na ambae hajui sasaHahahaaa hilo tatizo mkuu...mwanaume anatakiwa awe na mtazamo wa kurithisha upande wa pili zaid kuliko yeye
Kumbe eeh ila huyu tumeambiwa mara zote tu hayuko vzur?Nakuambia mwanamke kukojoa awe ametulia hasa kisaikolojia la sivyo hakojoi ng'ooo,tena akikutana na ambae hajui sasa
Hapo kuna mawili eidha ni anafosi kua na jamaa au ana matatizo tu ya kihomoniKumbe eeh ila huyu tumeambiwa mara zote tu hayuko vzur?
Nway nashkuru kwa hili..
071... umetisha sana mkuuHuyo Dada Itakuwa Ni Muumini Wa 071... Sema Tu Anashindwa Kusema Ukweli.
kwani dr ndodi nae alifungiwa mkuu? au mi sijaelewa comment yako?Na Dr. Ndodi ndo kashakua Mr. Ndodi sasa hakuna namna hapo.
Kuna haja ya kufosi mapenzi?Hapo kuna mawili eidha ni anafosi kua na jamaa au ana matatizo tu ya kihomoni