Mke mtarajiwa kaharibiwa

Huyo achana naye atakuletea shida bure za kwamba haumridhish kumbe kazoea mlango wa uwani

ndo maana hamdumu kwenye mahusiano yenu kwa maamuz ya bila kufikiria
 

Mlikuwa hamjawahi kufanya na unasema zamani hakuwa hvyo so ulijuaje may be tangu zaman alishaharibka.
 
kaishaharibiwa sio riziki yako tena,ila ni vema umuulize mwambie mbona huku kupo hivi?then subiri jibu akikupa ukweli asipokuficha fumba macho endelea naye hutapata maumivu makali kama ukimuacha kupenda kubaya aisee unaweza konda bila sababu
 
kuna magonjwa hua yanasababisha hiyo nyama kutoka nje huenda nae atakua ameugua,ni ugonjwa unaosababishwa na minyoo inaitwa trichuris trichiura huenda atakua anaumwa ugonjwa huo muulize vizuri
 
Anaumwa huyu Dada so bureee...waliotatuliwa rinda hawakuag hvoo
 
:hug::gossip: Muulize tu Mkuu yawezakuwa Degue maana asili ya gonjwa hili ni nje ya Nchi
 

hizo nyama zisukumie ndani na wewe ukishindwa niletee ofisini kwangu nizikate au piga 112 niulizie dr MO11
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…