Malaika AD
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 496
- 316
Teh ...teh yani MARINDA wameyanyofoa wanyamwezi !!pole kaka ndo ukubwa huo,vipi akijamba inakuaje?linatoka gogo?
Uzungu huu jamani!!
Ha ha haaaaaa akifanyaje? Maneno mabaya hayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh ...teh yani MARINDA wameyanyofoa wanyamwezi !!pole kaka ndo ukubwa huo,vipi akijamba inakuaje?linatoka gogo?
Uzungu huu jamani!!
shake well before use.,yani mimi hata nikikuta michilizi mapajani ndo kwaheri.Hapa ndo umuhimu wa kutest kabla hujaweka ndani unapoonekana.
Huyo achana naye atakuletea shida bure za kwamba haumridhish kumbe kazoea mlango wa uwani
kunaugonjwa wa hapo nyuma si lazma awe ameingliwa btw ulikuwa unatafta nini kipande hiyo?
Habarini za jioni wadau.
Nina mpenzi wangu, ninampenda sana naye ananipenda. kwa muda mrefu hatukuwahi kukutana kimwili kwa sababu yuko mbali nami.
Yuko masomoni nje ya nchi. Tunawasiliana vizuri tu. Ahadi tele kwakweli.
Sasa hivi juzi alirudi kutoka masomoni akaja mpaka kwangu. cha ajabu ni pale tulipokua tuanafanya mapenzi niligundua kua sehemu yake ya haja kubwa nyamanyama zake zimetokeza kwa nje. Hii ni dalili tosha kuwa alikua akiingiliwa kinyume na maumbile.Niliumia sana, nilistaajabu sana zamani hakuwa hivi. Bado nampenda sana lakini hali hii inanisikitisha, nimenyong'onyea kwa kweli. Natamani nimuulize. Lakini nashindwa.
Hebu nishaurini. Niendelee kuwa nae ama nighairi?
nimeambiwa huu mchezo mtu akishaanza hawezi kuacha.
muulize kwa lugha nzuri na tulivu ili uondoe mashaka yako..labda alipatwa na matatizo tofaut na mini kabang
Ni ugonjwa gani huo unaosababisha ngozi ya haja kubwa kutokeza nje?
chukua like hapo mke mwenza.
Habarini za jioni wadau.
Nina mpenzi wangu, ninampenda sana naye ananipenda. kwa muda mrefu hatukuwahi kukutana kimwili kwa sababu yuko mbali nami.
Yuko masomoni nje ya nchi. Tunawasiliana vizuri tu. Ahadi tele kwakweli.
Sasa hivi juzi alirudi kutoka masomoni akaja mpaka kwangu. cha ajabu ni pale tulipokua tuanafanya mapenzi niligundua kua sehemu yake ya haja kubwa nyamanyama zake zimetokeza kwa nje. Hii ni dalili tosha kuwa alikua akiingiliwa kinyume na maumbile.Niliumia sana, nilistaajabu sana zamani hakuwa hivi. Bado nampenda sana lakini hali hii inanisikitisha, nimenyong'onyea kwa kweli. Natamani nimuulize. Lakini nashindwa.
Hebu nishaurini. Niendelee kuwa nae ama nighairi?
nimeambiwa huu mchezo mtu akishaanza hawezi kuacha.