Mke mtarajiwa kaharibiwa


Ulimuuliza kama kweli anafanya hiyo mambo dont jump to conclussion mzee
 
Mkuu kama wametatua rinda ww darizi kbs muende sawa.
 
Ha ha haa.. Sio story ya vichekesho ila nimecheka aisee!
..njia mbili, ya kwanza tumia kidole....jaribu kukipitisha uone reaction yake na sikilizia misuli ya nyuma kama imebana au imeachia.

Pili, use doggy style, there you get visibility at right angles, stretch her butts, if the ass remains wide open, then you have answers to your queries! It's as simple as ABC!!
Habari ya nyama yaweza kuwa ugonjwa tu...
 
chronic constipation inaeza sababisha hiyo kitu unayoongea ko kuwa care ndugu.....
 

Labda alikuwa na constipeshen...
 
Huo ni ugonjwa na sio dalili ya kuwa kaingiliwa kinyume... Hata wewe unaweza kuupata..

Sisemi nina uhakika ila ulizia wataalamu wa afya watakufafanulia

Ugonjwa unaitwa Hermmorhoids(Sina hakika na spellings). Au Anal fiscal.
Tatizo halikimbiwi dogo libakabiliwa. Huko mbeleni utakutana na makubwa. Utakuwa unakimbia kila mara?!!
 

Nilishawahi pingana na watu humu jamvini kuhusu athari za 'anal sex', nikaishia kuitwa 'Gay'...mpaka nilitongozwa inbox na kukwazika sana, sababu tu nilikuwa najaribu kusema ukweli kutokana na taaluma yangu. Watu wengi wameshakushauri kuwa inawezekana kuwa 'Haemorrhoids'. Uwepo wangu katika fani ya afya umeniwezesha kujua kuwa hili ni tatizo ambalo linakuwa kwa kasi siku hizi...na halisababishwi na anal sex...siku hizi tumekuwa tukila sana vyakula visivyo na fibers za kutosha, hasa wanawake (samahani, si mbaguzi but ndio ukweli)..hili limepelekea watu kutopata choo cha kutosha (bulky stool) na wengi kupata constipation, haya mawili yanapredispose sana kupata Haemorrhoids! Mpenzi wako alikuwa Ulaya masomoni, nimesoma ulaya for a long time na tulikuwa walaji sana wa 'junky foods', ambazo ndizo vinara wa low fibers, an constipation lilikuwa tatizo kubwa..may be some of us ended up with Haemorrhoids..hatuambiani.....usimhukumu mpenzi wako kuwa kaharibiwa kwa anal sex sababu ya Haemorrhoids, kwani kuna wanawake wengi sana tu siku hizi wana internal au external Haemorrhoids na ni mabikra wa 'tigo'. Haemorrhoids ni tatizo linalotibika, mpeleke mwenza wako kwa daktari (Surgeon) amchunguze stage ya hizo Haemorrhoids na akushauri. NB: Haemorrhoids ni ugonjwa wengine wanauona embarrassing kuchunguzwa, so wengi wenye hilo tatizo huwa hawaendi tafuta matibabu, ongea na mpenzio, mpe confidence na msupport apate matibabu stahiki..muendelee kwa furaha.
 
Zamani ulimuona wapi wakati unasema hujawahi kufanya nae mapenzi? Pili ulimuonaje huko nyuma kama nawewe sio mchezo wako


Nitasema kweli daima
 
mjaribu siku 1 na wewe halafu uone atakavyochukulia, ukisikia anakwambia kuwa kumbe na wewe unapenda huku, jua mzoefu huyo, ila akikupa usiweke. tena kama mijitu ya unyamwezini imefumua marinda basi ujue imechana.
 
matatiz
kuna ugonjwa unaitwa bawasili..inawezekana ni huo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…