Mke mtarajiwa kaharibiwa



Cancel the Deal
 
Yaani hata kumuuliza unashindwa are you serious???,huwezi kufanya maaumuzi sahihi kama hujapata uhakika wa kile unachomhisi nacho.ila kama ukikuta ni kweli kaharibiwa piga chini hafai huyo kuwa mkeoa
 
Duh!! Pole sana kaka.Anaweza kuwa na tatizo jingine tofauti na kuingiliwa nyuma.Kaa nae chini muulize kiustaharabu.
 

Hapo inabidi uongee naye umuulize vizuri.
 
toooo bad! ila fanya uchunguzi usije jutia baadae
 
Ahsante sana dokta kwa mchango wako. Nikiri kua umenitoa wasiwasi kwa namna fulani. Nimejaribu ku google nimeona utofauti hapa. Hii Haemo inaonekana kama nikijinyama kilichokua protruded from inside kikatokeza kwa nje. Na hii niliyoiona hapa ni kama vile mdomo wa mtu anayepuliza kwa nje. Sijui umenipata my point? Natamani nikufafanulie kwa picha enywei. May be ni aina mojawapo ya ugonjwa huohuo.
Ila nikushukuru mdau.
 

ushauri mzuri sana, fuata huu ushauri upate pa kuanzia
 
ni kweli nyama hizo inawezekana ni ugonjwa muulize na mpeleke akapate tiba kwa faida yenu wote
 

Mwe mwe mweeeeee kaka Eli yaelekea una ka uzoefuuuu.... ya kupekenyua huko kwa investigation ndo yapi tenaaaa? Lol mbavu zangu mie
 
Mwe mwe mweeeeee kaka Eli yaelekea una ka uzoefuuuu.... ya kupekenyua huko kwa investigation ndo yapi tenaaaa? Lol mbavu zangu mie

sina uzoefu sista..teeeh!! Nasoma na kusikia kwa watu. Lakini unazionaje mbinu hizi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…