KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
hahhaah mambo mama
jumatatu akili yangu inakaaga sawa ila ikishafika ijumaa navurugwa muulize evelyn salt anajua awa litle secret
NENDA KWENYE UZI WA G SPOT umendikwa do you search for g spotKAMA SIKOSEI
shake well before use.,yani mimi hata nikikuta michilizi mapajani ndo kwaheri.
Dalili zake ni zipi?
Habarini za jioni wadau
Nina mpenzi wangu, ninampenda sana naye ananipenda. Kwa muda mrefu hatukuwahi kukutana kimwili kwa sababu yuko mbali nami masomoni nje ya nchi. Tunawasiliana vizuri tu, na ahadi tele kwakweli.
Sasa hivi juzi alirudi kutoka masomoni akaja mpaka kwangu, cha ajabu ni pale tulipokua tunafanya mapenzi niligundua kua sehemu yake ya haja kubwa nyamanyama zake zimetokeza kwa nje.
Hii ni dalili tosha kuwa alikua akiingiliwa kinyume na maumbile. Niliumia sana, nilistaajabu sana zamani hakuwa hivi, bado nampenda sana lakini hali hii inanisikitisha.
Nimenyong'onyea kwa kweli na natamani nimuulize lakini nashindwa.
Hebu nishaurini niendelee kuwa nae ama nimuache? nimeambiwa huu mchezo mtu akishaanza hawezi kuacha.
Ni ugonjwa gani huo unaosababisha ngozi ya haja kubwa kutokeza nje?
Umetisha sana pande zile eti " G spot inapatikana usoni?" teh teh
Baby M naanzajeanzaje kumwambia hebu nisaidie. Hebu imagine ninavyomuheshimu na anavyoniheshimu. Nimwambie umeingiliwa huko atanichukuliaje? Halafu hata kama ni kweli unategemea ataniambia ndio? Eti nasikia wakianza michezo hiyo hawaachi kamwe?seems like you guys are not soul partners or even best friends, hizi issue internal hivi jf ndiyo ikutatulie, ama kweli wakisema siku hizi social networks ndiyo uwanja wa kutatua ishu za wapenzi then break up ikija unalia mwenyewe na maumivu yako... talk to her and act like a man bhana.
Eti ndugu hebu nisaidie. Hivi ni kweli kwamba ukishaanza mchezo huo huez acha tena?inawezekana ni shida tu zilimfanya awe hivyo, kuishi kwenye nchi za watu ni kazi sana, muulize tu muyaweke sawa anaweza kubadilka kama shida zikiwa hazipo
ninavyomuheshimu na anavyoniheshimu- hapo nimebold ndy pakufanyia kazi kama kweli unamheshimu na yeye anakuheshimu ndiyo mtaweza ongea kwa kuheshimiana kwa kuuliza strategic questions ambayo yatamfanya aeleze whats going on with her kwa heshima hyo hyo aliyo nayo juu yako atakujibu ukweli with maelezo ya kutosha...talk as bestfriends or soul partners not as mwalimu na mwanafunzi... na usiulize maswali yatakayo onyesha ulisha waza kwamba analiwa 0712.Baby M naanzajeanzaje kumwambia hebu nisaidie. Hebu imagine ninavyomuheshimu na anavyoniheshimu. Nimwambie umeingiliwa huko atanichukuliaje? Halafu hata kama ni kweli unategemea ataniambia ndio? Eti nasikia wakianza michezo hiyo hawaachi kamwe?
Ahsante sana dokta kwa mchango wako. Nikiri kua umenitoa wasiwasi kwa namna fulani. Nimejaribu ku google nimeona utofauti hapa. Hii Haemo inaonekana kama nikijinyama kilichokua protruded from inside kikatokeza kwa nje. Na hii niliyoiona hapa ni kama vile mdomo wa mtu anayepuliza kwa nje. Sijui umenipata my point? Natamani nikufafanulie kwa picha enywei. May be ni aina mojawapo ya ugonjwa huohuo.
Ila nikushukuru mdau.