Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
wadau nahitaji kuoa sasa. Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia. Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm. Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio wale wa kutaniana na awe tayari kuingia kwenye ndoa ndani ya mda mfupi. Staki uchumba wa miaka 3 eti mnachumbiana. Karibu
Mke unayemtaka kamtafute huko aliko hayuko humu JF. Usije kumuoa ukaanza biti za sitaki kukuona kwenye JF au Twiter. Fanya kazi kijana funga na uwe mkweli ukiwa mlevi utampata ulevini ukwa wa swala utampat akwenye swala. Wanawake wanataka mtu aliyewazidi Calibre sio shaloow maana atajiona hayupo salama atatafuta anayewza kumlinda.
mke mwema umepata ni-PM:biggrin:
am serious ni email naomyjulius@yahoo.com ila nipo arusha
Hebu Pm nr huko hiyo ni fasta zaid....usicheleweshe mambo.am serious ni email naomyjulius@yahoo.com ila nipo arusha
Nimependa uliposisitiza hutaki uchumba wa miaka mitatu.
Vp jaman ndo nimechelewa ama? Vp mtoa mada, umeshapata tayari?
bado aisee
precious gal alikataa?
tatizo hiyo ID
Wadau nahitaji kuoa sasa.
Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia.
Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm.
Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio wale wa kutaniana na awe tayari kuingia kwenye ndoa ndani ya mda mfupi.
Awe na umri kuanzia 24-28, urefu cm 150-170, mweus au maji ya kunde, elimu kuanzia certificate and above. ANAYEJITAMBUA
Staki uchumba wa miaka 3 eti mnachumbiana.
Karibu