Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Wadau nahitaji kuoa sasa.
Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia.
Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm.
Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio wale wa kutaniana na awe tayari kuingia kwenye ndoa ndani ya mda mfupi.
Awe na umri kuanzia 24-28, urefu cm 150-170, mweus au maji ya kunde, elimu kuanzia certificate and above. ANAYEJITAMBUA
Staki uchumba wa miaka 3 eti mnachumbiana.
Karibu
Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia.
Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm.
Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio wale wa kutaniana na awe tayari kuingia kwenye ndoa ndani ya mda mfupi.
Awe na umri kuanzia 24-28, urefu cm 150-170, mweus au maji ya kunde, elimu kuanzia certificate and above. ANAYEJITAMBUA
Staki uchumba wa miaka 3 eti mnachumbiana.
Karibu