Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
- Thread starter
-
- #21
!
!
ni dada yake Saidi Mwema,au majina tu yanafanana
Wewe mwenyewe ni mume mwema?
wewe hapo umenena mimi wangu huu mwaka wa nne eti tunachumbiana tuu nataka kumpa kibuti naona ananizingua ningeapply kwako sasa mimi nina cm 135 cv imeshachafuka tena,ok ngoja waje wengineWadau nahitaji kuoa sasa.
Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia.
Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm.
Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio wale wa kutaniana na awe tayari kuingia kwenye ndoa ndani ya mda mfupi.
Awe na umri kuanzia 24-28, urefu cm 150-170, mweus au maji ya kunde, elimu kuanzia certificate and above. ANAYEJITAMBUA
Staki uchumba wa miaka 3 eti mnachumbiana.
Karibu
acha kumkatisha tamaa tupo sana jf na mitandao mengine sio kipimo cha kumpata mke mwema,wapo ambao hawapo mitandaoni ukiwaangalia wanawake kumbe wanawaka ambapo ukimfanya mke utajuta nakwambia vivyona wanaume kumbe wanaumaMke unayemtaka kamtafute huko aliko hayuko humu JF. Usije kumuoa ukaanza biti za sitaki kukuona kwenye JF au Twiter. Fanya kazi kijana funga na uwe mkweli ukiwa mlevi utampata ulevini ukwa wa swala utampat akwenye swala. Wanawake wanataka mtu aliyewazidi Calibre sio shaloow maana atajiona hayupo salama atatafuta anayewza kumlinda.
yupo mke mwema hapa ila kaungua meno balaa
Mleta mada twende pm mpaka kieleweke.
Am serious
Mke mwema anapatikana jamiii forums na sio Facebook.whatsapp.instagram wala twitter
fursa hizi jamani
Mm nahtaji mume lkn Id yako inatisha aisee
Mmhhh!!!hiyo ni id tu unaweza kupenda id kumbe mwenyewe haendan na id. Kama ni kwa maana ya id 99% ya watu humu ndani ni feki
haya twaja
:flypig::flypig: