Mke mwema anahitajika

Mke mwema anahitajika

Wadau nahitaji kuoa sasa.

Umri umetosha, kazi nimepata sasa nahitaji kuanzisha familia.

Nina 28 yrs naomba mdada aliye tayari na serious ani Pm.

Nasistiza mwenye nia ya dhati plz sio wale wa kutaniana na awe tayari kuingia kwenye ndoa ndani ya mda mfupi.


Awe na umri kuanzia 24-28, urefu cm 150-170, mweus au maji ya kunde, elimu kuanzia certificate and above. ANAYEJITAMBUA
Staki uchumba wa miaka 3 eti mnachumbiana.

Karibu
wewe hapo umenena mimi wangu huu mwaka wa nne eti tunachumbiana tuu nataka kumpa kibuti naona ananizingua ningeapply kwako sasa mimi nina cm 135 cv imeshachafuka tena,ok ngoja waje wengine
 
Mke unayemtaka kamtafute huko aliko hayuko humu JF. Usije kumuoa ukaanza biti za sitaki kukuona kwenye JF au Twiter. Fanya kazi kijana funga na uwe mkweli ukiwa mlevi utampata ulevini ukwa wa swala utampat akwenye swala. Wanawake wanataka mtu aliyewazidi Calibre sio shaloow maana atajiona hayupo salama atatafuta anayewza kumlinda.
acha kumkatisha tamaa tupo sana jf na mitandao mengine sio kipimo cha kumpata mke mwema,wapo ambao hawapo mitandaoni ukiwaangalia wanawake kumbe wanawaka ambapo ukimfanya mke utajuta nakwambia vivyona wanaume kumbe wanauma
 
Aisee uchumba wa miaka minne mi siuwezi, hapo mnankuwa mnatafuta kubwagana tu. commitment ni commitment haiji kwa kuchkua mda mrefu unaweza ukamchunguza hata 6yrs bado akawa taabu kwenye ndoa. issue ni anayejitambua na aliye na commitment
 
yupo mke mwema hapa mwenye sifa unazotaka ila kaungua meno balaa
 
Mleta mada twende pm mpaka kieleweke.
Am serious
 
Mke mwema anapatikana jamiii forums na sio Facebook.whatsapp.instagram wala twitter
 
Back
Top Bottom