Mke mwema njoo, unahitajika!

mh kufunga hapo.
Utaanza taratibu angalau mara moja baada ya miezi miwili, kisha mara moja kila mwezi. Utazoea tu. Badae utaona siyo jambo gumu maana utakuwa na Roho wa Mungu ndani yako. Usiogope dada, siyo ngumu kiviile. Nipo simple sana. Ila Mungu ni nambari wani kwangu. Vipi Upo tayari?
 
Hapo kwenye kuacha kibarua cha kudumu Mmmmh...

Usijali mkuu utapata
 
Nafikir vigezo vyako vinatisha et kama anakaz ajiandae kuacha kaz asimamie biashara labda mwenye vyet feki ataacha kaz, pia naona unakaxia ukabila na bila shaka utakua msukuma, watakuja wasukuma wenzako, pia kumwachisha MTU kaz asimamie biashara cku biashara ikifa itakuweje, bora ungesema elimu ya darasa la saba ajue kusoma nakuandika kila ulete mrejesho pia
 
Ahsante kwa maoni yako.! Jambo jema ni kuwa , kila mtu yupo huru kutoa maoni yake. Ilimradi heshima na utu vimezingatiwa.!
 
Hapo kwenye kuacha kibarua cha kudumu Mmmmh...

Usijali mkuu utapata
Haswaa, tena ni muhimu zaidi. Masuala ya ajira za kudumu eti Mme anaishi Kagera na Mke anaishi Mbeya kwa sababu ya kujali ajira. Hii siyo haki ya Ndoa. Ndoa ni furaha na Amani. Kazi ni sehemu tu ya kukamilisha maisha. Kazi inaweza kuwa ya kujiajiri au ya kuajiriwa. Kuwa na Fikra ya kwamba kazi ni zile za kaujiriwa tu huko pia siyo kuwa huru Kifkira, ni aina nyingine ya Utumwa uliojificha ....
 
kila la kheri mkuu ila kama umekaza sana vyuma ..yani na hali hii mtu unataka awe tayari kuacha kazi?
 
kila la kheri mkuu ila kama umekaza sana vyuma ..yani na hali hii mtu unataka awe tayari kuacha kazi?
Mkuu hii ni kwa sababu ya changamoto nilizoziona katika Wanandoa Walio ajiriwa. Yaani unakuta Mme anaishi Mtwara na Mke anaishi Mwanza. Wanatembeleana mara moja kila baada ya miezi kadhaa. Yaani ni karaha badala ya Raha. Maisha gani sasa haya ya Ndoa.? Muhimu ni kuwa, kama kuna business ambayo itakuwepo na Mungu kaijalia ipo vizuri, then Maisha yataenda kwa kudra za Mwenyezi Mungu na si Kudra za Mwajiri.
 
Wako wanaoweza kuhimili na kufunga kwa huo mwaka mmoja kabla ya ndoa hadi wakawa wananena kwa lugha na kulia machozi kanisan. Baada ya ndoa anarudi kwenye u-yeye mwenyewe
BTW kila la kheri kijana
 
Kama namwona fulani vile
Mwambie tu kijana ndo huyo
Ila ninavyokujua kwa maombi yako ya kufunga kavu tatu kwa mume huyu mtafungua kanisa sasa
hahahahahaaaaaaaa...
 
Wako wanaoweza kuhimili na kufunga kwa huo mwaka mmoja kabla ya ndoa hadi wakawa wananena kwa lugha na kulia machozi kanisan. Baada ya ndoa anarudi kwenye u-yeye mwenyewe
BTW kila la kheri kijana
Mungu haruhusu jaribu la kukushinda..
 
Kama namwona fulani vile
Mwambie tu kijana ndo huyo
Ila ninavyokujua kwa maombi yako ya kufunga kavu tatu kwa mume huyu mtafungua kanisa sasa
hahahahahaaaaaaaa...
Ha ha haaa, Mkuu..... Sasa ndo itakuwa njema zaidi. Maana tukianzisha hadi Kanisa it means tunakuwa tunatimiza Kusudi la Mungu. Na Wokovu unakuwa umedhihirisha nguvu zake......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…