Mke mwenye hizi sifa 16 anahitajika haraka

Kama tu Mwenyezi Mungu anachagua mtu ambaye mwenye utayari tu, wewe Mjaa dhambi za kila aina unakuja na vigezo kama unajaza form ya kazi UN, ambavyo hata kumuumba wa robo ya hivyo huwezi.
 
Kama tu Mwenyezi Mungu anachagua mtu ambaye mwenye utayari tu, wewe Mjaa dhambi za kila aina unakuja na vigezo kama unajaza form ya kazi UN, ambavyo hata kumuumba wa robo ya hivyo huwezi.
Mwenye vigezo Hivyo Karibu Sana.
 
Kama tu Mwenyezi Mungu anachagua mtu ambaye mwenye utayari tu, wewe Mjaa dhambi za kila aina unakuja na vigezo kama unajaza form ya kazi UN, ambavyo hata kumuumba wa robo ya hivyo huwezi.
Mwenye vigezo hivyo Karibu Sana.
 
Hiyo number 5 umeharibu kabisa. Huyu jamaa ni kama Baltazar tu
Kila Mtu ana Imani yake,mimi namkubali sana Mwamposa.

Mwanamke anayemkubali Mwamposa na Wenzake nitamwelewa zaidi.

Fuata Imani Yako na mimi Nina yangu.Asante
 
Kama tu Mwenyezi Mungu anachagua mtu ambaye mwenye utayari tu, wewe Mjaa dhambi za kila aina unakuja na vigezo kama unajaza form ya kazi UN, ambavyo hata kumuumba wa robo ya hivyo huwezi.

Karibu Sana
 
🙌🙌
 
Hakuna muoaji hapa!!
Huyu kama chuma ulete tu ni Baltazari wa Bongo!
Print hilo tangazo kaweke kanisani pale Tanganyika packers Kawe kuna maelfu ya wanawake watakuja.

Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
 
Mrejesho;

Mwoaji amempata Mwanamke mwenye vigezo 15 kati ya 16 na sasa anaanza mchakato rasmi Kufungua Ndoa.

Asanteni kwa ushirikiano wenu wadau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…