Mke mwenye mimba ya miezi minne hatarini kuachwa, inawezekana?

Mke mwenye mimba ya miezi minne hatarini kuachwa, inawezekana?

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Ni jeuri kuliko ujeuri wenyewe!

Ujeuri wake hauangalii kamwe usingle mother wake, wala msaada unaofanywa na mumewe wa kuishi na mtoto wake aliyemkuta. Ye ni kumjeuria tu mumewe muda wote tangu mwaka wa kwanza wa kuoana kwao....kasababu kadogo tu maneno ya nyodo mengiiiiii; 'una nini wewe?', 'nipe talaka kama utaniona Hapa?', 'mjinga mwenyewe!', 'lofa mwenyewe!', 'unanini hadi nikutafute?' N.k.

Mume sasa amenyoosha mikono juu, haoni bright future yoyote na mke huyu zaidi ya kuchaangana mapanga tu siku moja isiyo na jina. Lakini sasa juu ya uamuzi huu kuna tatizo moja; mke ni mjamzito tangu mwezi wa tano! Inakuaje hapa?
 
Nahisi jamaa kwa kipindi kama hiki ajifanye mjinga, mbengu yake iliyotumboni ikue vyema, pia ajitahidi kukwepa aina yoyote ya mivutano.. kama mwanaume anaweza soma mchezo akaelewa.. ajitahidi tu .. ila asimuache katika hali hiyo.. labda kama kachomekewa.
 
1- Kwanza mimba sio mlima.

2- Una uhakika gani kama hiyo mimba ni yako?

3- Mwanamke aliekosa utii hafai kuwa mke.

4- Usikubali akafanya mimba kama silaha ama fimbo ya kukuchapia.
 
Ni jeuri kuliko ujeuri wenyewe!

Ujeuri wake hauangalii kamwe usingle mother wake, wala msaada unaofanywa na mumewe wa kuishi na mtoto wake aliyemkuta. Ye ni kumjeuria tu mumewe muda wote tangu mwala wa kwanza wa kuoana kwao....kasababu kadogo tu maneno ya nyodo mengiiiiii; 'una nini wewe?', 'nipe talaka kama utaniona Hapa?', 'mjinga mwenyewe!', 'lofa mwenyewe!', 'unanini hadi nikutafute?' N.k.

Mume sasa amenyosha mikono juu, haoni bright future yoyote na mke huyu zaidi ya kuchaangana mapanga tu siku moja isiyo na jina. Lakini sasa juu ya uamuzi huu kuna tatizo moja; mke ni mjamzito tangu mwezi wa tano! Inakuaje hapa?!!!
Mkuu! Hawa viumbe kuishi nao unahitaji msaada wa ziada! Ona! Kwa mfano! Mfanyabiashara aliyefanikiwa kibiashara atakwambia blah! blah! nyingi kuhusu biashara lakini nyuma yake mh? Sasa ndo maana unapotaka kuoa kuna mambo fulani ya makubaliano kati ya familia/ukoo wa mke ili wamwachilie kwa amani na upande wako wewe mwanamme ambayo yanatakiwa yafanyike ili akubalike katika familia ukoo wenu!

Wengi tunayapuuzia na kuendana na ukisasa! Of course mengine yanaweza kukufikirisha! Kama ndo hivyo basi wewe kama ni mkristo mkabidhi katika imani yako kimadhabahu na vunja madhabahu nyingine nje na imani yako! Kuna msemo unasema: "kama huwezi kumshinda basi ungana naye"! Kama huwezi kupambana na roho nyuma ya huyo mwanamke iliyomkuza basi kubaliana nayo kwa kufuata mila na desturi za kwao mtaishi salama!
 
Nahisi jamaa kwa kipindi kama hiki ajifanye mjinga, mbengu yake iliyotumboni ikue vyema, pia ajitahidi kukwepa aina yoyote ya mivutano.. kama mwanaume anaweza soma mchezo akaelewa.. ajitahidi tu .. ila asimuache katika hali hiyo.. labda kama kachomekewa.
Mwanaume anavumiliaje ujinga huu

Apige chini aendelee na wanawake wengine
 
Ni jeuri kuliko ujeuri wenyewe!

Ujeuri wake hauangalii kamwe usingle mother wake, wala msaada unaofanywa na mumewe wa kuishi na mtoto wake aliyemkuta. Ye ni kumjeuria tu mumewe muda wote tangu mwaka wa kwanza wa kuoana kwao....kasababu kadogo tu maneno ya nyodo mengiiiiii; 'una nini wewe?', 'nipe talaka kama utaniona Hapa?', 'mjinga mwenyewe!', 'lofa mwenyewe!', 'unanini hadi nikutafute?' N.k.

Mume sasa amenyoosha mikono juu, haoni bright future yoyote na mke huyu zaidi ya kuchaangana mapanga tu siku moja isiyo na jina. Lakini sasa juu ya uamuzi huu kuna tatizo moja; mke ni mjamzito tangu mwezi wa tano! Inakuaje hapa?
Hili wangelipeleka ofisi za CCM walitazame.
 
Ni jeuri kuliko ujeuri wenyewe!

Ujeuri wake hauangalii kamwe usingle mother wake, wala msaada unaofanywa na mumewe wa kuishi na mtoto wake aliyemkuta. Ye ni kumjeuria tu mumewe muda wote tangu mwaka wa kwanza wa kuoana kwao....kasababu kadogo tu maneno ya nyodo mengiiiiii; 'una nini wewe?', 'nipe talaka kama utaniona Hapa?', 'mjinga mwenyewe!', 'lofa mwenyewe!', 'unanini hadi nikutafute?' N.k.

Mume sasa amenyoosha mikono juu, haoni bright future yoyote na mke huyu zaidi ya kuchaangana mapanga tu siku moja isiyo na jina. Lakini sasa juu ya uamuzi huu kuna tatizo moja; mke ni mjamzito tangu mwezi wa tano! Inakuaje hapa?

Ukiamua kumpa Mwabamke Mimba umeamua kuishi naye, nyingine ni Mbwembwe na utoto.

Kwa nini ujue hafai baada ya kumpa mimba na ikae miezi mi 4? Kama hafai, usimpe mimba.
 
Nahisi jamaa kwa kipindi kama hiki ajifanye mjinga, mbengu yake iliyotumboni ikue vyema, pia ajitahidi kukwepa aina yoyote ya mivutano.. kama mwanaume anaweza soma mchezo akaelewa.. ajitahidi tu .. ila asimuache katika hali hiyo.. labda kama kachomekewa.
Mkuu najua kuvumilia lkn sio aina hii ya mwsnamke, aende tu.
Tunza hiyo mimba mke huyo akiwa mbali nawe kabisa
 
Ni jeuri kuliko ujeuri wenyewe!

Ujeuri wake hauangalii kamwe usingle mother wake, wala msaada unaofanywa na mumewe wa kuishi na mtoto wake aliyemkuta. Ye ni kumjeuria tu mumewe muda wote tangu mwaka wa kwanza wa kuoana kwao....kasababu kadogo tu maneno ya nyodo mengiiiiii; 'una nini wewe?', 'nipe talaka kama utaniona Hapa?', 'mjinga mwenyewe!', 'lofa mwenyewe!', 'unanini hadi nikutafute?' N.k.

Mume sasa amenyoosha mikono juu, haoni bright future yoyote na mke huyu zaidi ya kuchaangana mapanga tu siku moja isiyo na jina. Lakini sasa juu ya uamuzi huu kuna tatizo moja; mke ni mjamzito tangu mwezi wa tano! Inakuaje hapa?
Kati ya vipindi unapotakiwa "kuishi naye kwa akili" ni kipindi hiki cha ujauzito. Mimba inamsumbua. Mvumilie. Akijifungua ataanza kutumia akili zake.
 
Back
Top Bottom