Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kama ulikua hujui hili basi leo elewa.
Kazi ya mke kwenye familia ni pamoja na kumwombea mme wake afanikiwe kila jambo.
Kama mke mzinzi basi hapo jua upo peke yako.
Mke mzinzi hawezi kumwombea mme wake.
Moyo wake unapenda watu wawili wakati akiwa anaomba Mungu anaangalia moyo wake Mungu anashindwa kuelewa anamwombea mwanaume yupi.
Mke wako akiwa mzinzi jua hapo umebaki peke yako pambana kujiombea mwenyewe.
Kazi ya mke kwenye familia ni pamoja na kumwombea mme wake afanikiwe kila jambo.
Kama mke mzinzi basi hapo jua upo peke yako.
Mke mzinzi hawezi kumwombea mme wake.
Moyo wake unapenda watu wawili wakati akiwa anaomba Mungu anaangalia moyo wake Mungu anashindwa kuelewa anamwombea mwanaume yupi.
Mke wako akiwa mzinzi jua hapo umebaki peke yako pambana kujiombea mwenyewe.