Mke na Mama

Mke na Mama

Good,....muuguze mama_achana na response ya mkeo kwa sasa,....mama akipona ndio heri yako mkuu......
Well done

THANKS THE GREAT THINKER WELL BLESSED MaN
 
Wadau mama anaumwa na anataka kukaa na mimi,mke wangu anasema hana furaha kukaa na mama nyumba moja,nimechanganyikiwa nishaurini,nimuondoe mamam au nikae nae na mke wangu hatakuwa na furaha???Nisaidieni wajameni.
Mama ndo evrythn banah! Bla mamaako huyo mke angekupata wapi? Do th needful 2 ur b'lovd mom n show her lov aiseee!dah.
 
Back
Top Bottom