Mmmmm,kama mtu unaweza afadhali usinywe pombe kabisa.
Hasa hasa ukiwa umeumbwa mwanamke,
Mwanamke ni mlinzi wa mwanaume,
Mwanamke kiongozi wa familia kwene swala zima la maadili, Mwanamke mlezi wa familia na mtekelezaji wa mipango yote.
Kama kweli unaweza kunywa kidogo kwa afya kunywa, kama huwezi acha tu.
Manake kiasi hichi ndugu yangu, baba unarudi chakari, Mama nae Chakari. Mmmm sipati picha!! Binti uko Chakari mmmh haipendizi bana!!
Wanaume walivyoumbwa bwana mambo yao mengi wala sio ya kuigwa na mwanamke. Ndo maana hata Mungu aliliona hilo akaumba msaidizi, na mlinzi ambaye ni Mwanamke.