Jamal Mwenza
Member
- Mar 26, 2018
- 7
- 1
ALHAMDULILLAH NIMEMPATA NILIYEKUWA NAMTAFUTA NAYE AMENIPATA
SITAFUTI TENA MKE WAPENDWA, NIMEFUNGA UKURASA
SITAFUTI TENA MKE WAPENDWA, NIMEFUNGA UKURASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya broUtapata tu mkuu usijari
Dada kwani mtu mpole anakuwa sio charming... By the way shukranTatizo umesema "mpole sanaa"...m watu waliozid upole hua siwawezi ... Naona nimekosa Mme hapa..subir waje mtakaoendana
Hamba tofauti yoyote mtaani na huku. Siwezi mfata maana yeye hnifata Nitakuwa namkosea, yeye akipendezwa atanitaftaMtaani ukikosa mke basi huku tarajia za mbavu.ila kuna demu kinajiita katoto kazuri,ebu mjaribu huyo nahisi hawezi kukataa wito
Kwani huyo demu yupo cheap sana ama?Mtaani ukikosa mke basi huku tarajia za mbavu.ila kuna demu kinajiita katoto kazuri,ebu mjaribu huyo nahisi hawezi kukataa wito
Mkuu hapa warning ni usiwe andunje tu.Habari wadau, kwa majina naitwa Jamal Mwenza ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni mgeni hume kwa maana ya kwamba sikuwa na account ila nilikua msomaji tu wa maada.
Kikubwa kilichonileta ni kutafta mwenza wa kutengeneza nae maisha. Natafrahi akiwa na umri kuanzia miake 28-35 japo hata hadi 25 sawa tu lakini asiwe chini ya hapo.
Haijalishi Dini wala kabila, rangi wala kuwa kazaa. Mimi ni mpole sanaa hivyo basi nae awe mpole. Kuhusu kipato mimi ni mpambanaji na msomi wa kiwango cha shahada. Ila sina kigezo cha elimu wewe njoo tu hata kama hujapita hata la kwanza tuyajenge na tufanye maisha.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu wapendwa na M/Mungu awabariki.
HahahaaKwani huyo demu yupo cheap sana ama?
Nataka kuandika mrejesho nashindwa mkuu lakini nishapata ambae tumeelewana na penzi liko moto moto, Dua zenu tu wadau milango nimeifunga.Mkuu hapa warning ni usiwe andunje tu.
Mume wa kunistiri uko wapi jamani?
Mmmmh na ww sema hujampenda acha porojo...Tatizo umesema "mpole sanaa"...m watu waliozid upole hua siwawezi ... Naona nimekosa Mme hapa..subir waje mtakaoendana
Hahaa y sisterTatizo umesema "mpole sanaa"...m watu waliozid upole hua siwawezi ... Naona nimekosa Mme hapa..subir waje mtakaoendana