Mke V/S Dada wa kazi

Mke V/S Dada wa kazi

We umevurugwa na maisha... Tupisheee
Unaeelekea kwenda kuvurugwa haswa ni wewe! Angalia wanawake wenye hekima na busara walivyo duniani. .UK, Ujerumani, nk. ..na bado USA. ...nyie mnabaki na uwivu wa kijinga kushindana na madada wa ndani. ...huo ni ujinga. ..badilisha fikra zako na uaim high. .kuwa na matamanio ya maendeleo kwa jamii na nchi nzima...DO NOT PUT YOUR HAPPINESS IN SOMEBODY ELSE POCKET. ...
 
hahahaha.........akupishe siyo??

Mama ni mama ndani ya nyumba. By the way there are women out there who are successful in their careers but at the same time they are fine mothers! So lets stop excuses. As a mother do your best to fulfill your responsibilities. Take care of your home. take care of your motherly obligations.Same applies to Fathers.
Yop. ...nimpishe aelekee shimoni ..Tuache madada wa kazi wafanye kazi zao! Na tusiwavuruge watoto wetu wa Kike kuwa undermine. ....siyo kwenye dunia ya leo. ...remain blessed my dear
 
Hahahaha nina wasiwasi na wewe kma ni mwanaume kweli au Tayari...

Hujui hata majukumu ya mke
Mimi ni mwanamke. ..my dear. ..na ninafanya biashara za nguvu. ..lakini ni baada ya kubadilisha fikra zangu. ...na kuamini ndani ya moyo wangu kwamba nina thamani kubwa sana!
 
Mimi ni mwanamke. ..my dear. ..na ninafanya biashara za nguvu. ..lakini ni baada ya kubadilisha fikra zangu. ...na kuamini ndani ya moyo wangu kwamba nina thamani kubwa sana!
Basi Sawa nasi Wanaume Hatutaki Wanawake Kama Wewe sasa... Mwanaume Hata Kama Mke Yupo Busy Kuna Kipindi unamiss Kufanyiwa Kitu na Mkeo bhana
 
MUME: Darling nina kikao mkoani kesho naomba niandalie vitu please.
MKE: Dada zile nguo za baba pamoja na soksi ulifua.
DADA:Ndio nimepanga kabatini. mama anarudi chumbani na kumuomba hubby wakacheki TV sebulen, lakini baada ya muda mama anamuita dada akapange suruali kadhaa na mashati kwa ajili ya safari ya kesho, dada anapanga kila kitu anatoka

MKE: Kama tayari hakikisha unarekebisha yale mashuka pale kitandan weka na maji bafuni, dada anafanya na kwenda zake kulala, asubuhi dada anaamka mapema na kuandaa kila kitu ikiwamo na chai, baba anakunywa chai na kutaka kuondoka.

MKE: Dada msindikize baba ili ufunge geti sbb bado ni giza.

DADA: Sawa mama, dada anatoka na begi la baba hadi nje kwavile mkewe yupo ndani , baba anamtaka dada abaki vizuri na watoto, dada anaitika na kusema nawao wanamuombea safari njema. Baada ya muda baba anarudi toka safari

MKE: Huku akitabasamu, dada si umemuona baba amerudi vipi chakula tayari.

DADA: Ndio.

MKE: Haya kapange meza vizuri mimi nandaa juice. Baada ya muda wanakula na baba anagundua juice sio nzuri anaamua kuiacha na kusema leo wamesahau kuweka baadhi ya vitu hivyo hataweza kuinywa.

Baadae baba anakumbuka kuwa aliacha boxer zake kwenye ndoo ya maji chumban na kufunika mfuniko, anamuuliza mama vipi zile nguo zangu kwenye ndoo zilifuliwa maana nilisahau kusema kama zina maji.

MKe: Dada njoo hapa hivi zile nguo za baba chumbani ulifua.

DADA: Ndio mama lakini hasemi kama alianua na kuweka chumbani kwake akidhan atakunja baada ya kazi kupungua
MKE: Darling zilifuliwa.

MUME: Na watoto vipi wameshalala.
MKE: Anajibu wamelala darling.

MUME: vipi dereva wao alifika kuchukua pesa yake.

MKE😀ada eti uncle Hassan amechukua pesa yake.

DADA:Hapana wamembadilishia gari uncle Hassan amesafiri kwa muda.

MKE:Tutampatia darling siku akirudi acha dada aendelee kuitunza.

MUME: Basi vizuri, ehee vipi na tution walienda leo.

MKE: Ndio walienda anamgeukia dada, si eti ee walienda si eti.

DADA:Hapana Kelvin anaumwa leo siku ya pili nilinunua dawa dukan nimempa lkn hajambo

MKE:Anashangaa hee mtoto mgumu huyu kumbe jana alikua mgonjwa halafu wala!!! alikua anacheza tu jamani watoto,asante dada umefanya vizuri.

MUME: Haya mimi niwaache nataka nikapumzike lkn darl nitaomba zile boxer nichome kabla ya kulala sababu zimeanza kuchoka

MKE: Anaingia chumbani anafungua kabati na kuzikosa lkn kabla hajajieleza anamuona dada analeta mzigo wa boxer zikiwemo chupi za mama na mataulo.

MUME: Basi dada zirudishe tutachambua kesho nenda kafanye kazi zako, mume anainuka na kuelekea kulala, lakini anagundua mke wake alimwaga nguo kitandani wakati anatafuta boxer hivyo anaamua kurudi sebuleni ili aombe. kuandaliwa kitanda, kwavile chumba cha dada kipo jiran na chao anagundua dada ameacha mlango wazi.

Anaamua kuufunga ili mbu wasiingie lakini anaona baadhi ya mashati na suruali zake zikiwa zimenyooshwa na kuwekwa pemben huku kitanda kikiwa kimetandikwa kwa ustadi anaamua kufunga mlango na kutoka, anafika sebuleni anakuta mama anatazama tamthilia anamwambia akatandike kitanda.

MKE: Dada njoo, (kwa sauti ya kunong'ona) naomba ukatandike kitanda haraka.

DADA:Tayari nilipeleka viatu vya baba nikaamua kutoa na zile nguo.

MKE: anaamka na kwenda kuhakikisha anarudi na kumwambia mumewe tayari aende akalale

MUME: anaenda kulala lkn huku akijuiliza sana ni nini amfanyie huyu dada kwa ukarimu anaowafanyia hapo nyumban, kwanza anajua ni vitu gani baba anabeba akiwa safarini, ndio pekee anaemtakia safari njema na kumuombea, ndio anaefua boxer zake na kutunza vizuri, ndio anaepika chakula kitamu, ndio anaetandika kitanda chake, ndio anaejua juice gani baba anapenda, ndio anaejua kama watoto wamerudi vipi kutoka shule, vilevile ndio anaejua kama watoto wake wanaumwa ama vipi.

Sasa mnafikiri baba atamzawadia nini huyu binti ambae amebakiza kujua style anazopenda baba tu, si atamfundisha ili kesho asimsumbue tena mke wake ambae kila kitu lzm amuulize dada.

Akina baba hawaridhiki lakini wamama jitahidini hata kama mnamajukumu kiasi gani.
#Share Kama Nimenena Kweli
kweli hii inatokea sana
 
Basi Sawa nasi Wanaume Hatutaki Wanawake Kama Wewe sasa... Mwanaume Hata Kama Mke Yupo Busy Kuna Kipindi unamiss Kufanyiwa Kitu na Mkeo bhana
Usi generalized. .....wanaume wanao kwenda na wakati wanapenda wanawake strong na wenye mapesa na busara na hekima. ....hawataki kuoa watumwa, mwanaume kama wewe uko insecure na unapenda kunyanyasa naona wakati wako umepita, POLE SANA. .....na kumbuka 'wakati ni ukuta ukipambana nao utaumia mwenyewe ' It's a bitter truth my friend just swallow it!
 
Usi generalized. .....wanaume wanao kwenda na wakati wanapenda wanawake strong na wenye mapesa na busara na hekima. ....hawataki kuoa watumwa, mwanaume kama wewe uko insecure na unapenda kunyanyasa naona wakati wako umepita, POLE SANA. .....na kumbuka 'wakati ni ukuta ukipambana nao utaumia mwenyewe ' It's a bitter truth my friend just swallow it!
Hakuna Mwanaume ambaye Ndani hataki kuwa kichwa Ndani na Kuonyesha Kuwa Yeyey Ni mwanaume ... We Baki hivyo Hivyo wanawake wangapi Wapo kama Wee Hawanw Hata mume Ndani ... Eti mwanamke Strong ila hujui Mwanaume anataka Nn Akirudi home... kuna wanawke Wanapiga kazi Na Wanajua Kuhudumia vile Vile Kuwnzia Mume mpak Familia (mfano Mama yangu) Hao ndo Wanwake Wewe Unatakiwa Kwenda Beijing kwa Wanawake Mnaotaka kupigana Na Mfumo Dume sijui mnaita Mpak mnajisahau
 
Hakuna Mwanaume ambaye Ndani hataki kuwa kichwa Ndani na Kuonyesha Kuwa Yeyey Ni mwanaume ... We Baki hivyo Hivyo wanawake wangapi Wapo kama Wee Hawanw Hata mume Ndani ... Eti mwanamke Strong ila hujui Mwanaume anataka Nn Akirudi home... kuna wanawke Wanapiga kazi Na Wanajua Kuhudumia vile Vile Kuwnzia Mume mpak Familia (mfano Mama yangu) Hao ndo Wanwake Wewe Unatakiwa Kwenda Beijing kwa Wanawake Mnaotaka kupigana Na Mfumo Dume sijui mnaita Mpak mnajisahau
This is a WASTE ENERGY kubishana na kitu kama wewe. ....maana hujui kama nime olewa au bado nina watoto au sina. ...sasa sita kupa benefit of doubt. ...MUELIMISHE MWENYE HEKIMA AZIDI KUPATA HEKIMA. ..bye bye
 
This is a WASTE ENERGY kubishana na kitu kama wewe. ....maana hujui kama nime olewa au bado nina watoto au sina. ...sasa sita kupa benefit of doubt. ...MUELIMISHE MWENYE HEKIMA AZIDI KUPATA HEKIMA. ..bye bye
Haya bye
 
Unaeelekea kwenda kuvurugwa haswa ni wewe! Angalia wanawake wenye hekima na busara walivyo duniani. .UK, Ujerumani, nk. ..na bado USA. ...nyie mnabaki na uwivu wa kijinga kushindana na madada wa ndani. ...huo ni ujinga. ..badilisha fikra zako na uaim high. .kuwa na matamanio ya maendeleo kwa jamii na nchi nzima...DO NOT PUT YOUR HAPPINESS IN SOMEBODY ELSE POCKET. ...
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
MUME: Darling nina kikao mkoani kesho naomba niandalie vitu please.
MKE: Dada zile nguo za baba pamoja na soksi ulifua.
DADA:Ndio nimepanga kabatini. mama anarudi chumbani na kumuomba hubby wakacheki TV sebulen, lakini baada ya muda mama anamuita dada akapange suruali kadhaa na mashati kwa ajili ya safari ya kesho, dada anapanga kila kitu anatoka

MKE: Kama tayari hakikisha unarekebisha yale mashuka pale kitandan weka na maji bafuni, dada anafanya na kwenda zake kulala, asubuhi dada anaamka mapema na kuandaa kila kitu ikiwamo na chai, baba anakunywa chai na kutaka kuondoka.

MKE: Dada msindikize baba ili ufunge geti sbb bado ni giza.

DADA: Sawa mama, dada anatoka na begi la baba hadi nje kwavile mkewe yupo ndani , baba anamtaka dada abaki vizuri na watoto, dada anaitika na kusema nawao wanamuombea safari njema. Baada ya muda baba anarudi toka safari

MKE: Huku akitabasamu, dada si umemuona baba amerudi vipi chakula tayari.

DADA: Ndio.

MKE: Haya kapange meza vizuri mimi nandaa juice. Baada ya muda wanakula na baba anagundua juice sio nzuri anaamua kuiacha na kusema leo wamesahau kuweka baadhi ya vitu hivyo hataweza kuinywa.

Baadae baba anakumbuka kuwa aliacha boxer zake kwenye ndoo ya maji chumban na kufunika mfuniko, anamuuliza mama vipi zile nguo zangu kwenye ndoo zilifuliwa maana nilisahau kusema kama zina maji.

MKe: Dada njoo hapa hivi zile nguo za baba chumbani ulifua.

DADA: Ndio mama lakini hasemi kama alianua na kuweka chumbani kwake akidhan atakunja baada ya kazi kupungua
MKE: Darling zilifuliwa.

MUME: Na watoto vipi wameshalala.
MKE: Anajibu wamelala darling.

MUME: vipi dereva wao alifika kuchukua pesa yake.

MKE😀ada eti uncle Hassan amechukua pesa yake.

DADA:Hapana wamembadilishia gari uncle Hassan amesafiri kwa muda.

MKE:Tutampatia darling siku akirudi acha dada aendelee kuitunza.

MUME: Basi vizuri, ehee vipi na tution walienda leo.

MKE: Ndio walienda anamgeukia dada, si eti ee walienda si eti.

DADA:Hapana Kelvin anaumwa leo siku ya pili nilinunua dawa dukan nimempa lkn hajambo

MKE:Anashangaa hee mtoto mgumu huyu kumbe jana alikua mgonjwa halafu wala!!! alikua anacheza tu jamani watoto,asante dada umefanya vizuri.

MUME: Haya mimi niwaache nataka nikapumzike lkn darl nitaomba zile boxer nichome kabla ya kulala sababu zimeanza kuchoka

MKE: Anaingia chumbani anafungua kabati na kuzikosa lkn kabla hajajieleza anamuona dada analeta mzigo wa boxer zikiwemo chupi za mama na mataulo.

MUME: Basi dada zirudishe tutachambua kesho nenda kafanye kazi zako, mume anainuka na kuelekea kulala, lakini anagundua mke wake alimwaga nguo kitandani wakati anatafuta boxer hivyo anaamua kurudi sebuleni ili aombe. kuandaliwa kitanda, kwavile chumba cha dada kipo jiran na chao anagundua dada ameacha mlango wazi.

Anaamua kuufunga ili mbu wasiingie lakini anaona baadhi ya mashati na suruali zake zikiwa zimenyooshwa na kuwekwa pemben huku kitanda kikiwa kimetandikwa kwa ustadi anaamua kufunga mlango na kutoka, anafika sebuleni anakuta mama anatazama tamthilia anamwambia akatandike kitanda.

MKE: Dada njoo, (kwa sauti ya kunong'ona) naomba ukatandike kitanda haraka.

DADA:Tayari nilipeleka viatu vya baba nikaamua kutoa na zile nguo.

MKE: anaamka na kwenda kuhakikisha anarudi na kumwambia mumewe tayari aende akalale

MUME: anaenda kulala lkn huku akijuiliza sana ni nini amfanyie huyu dada kwa ukarimu anaowafanyia hapo nyumban, kwanza anajua ni vitu gani baba anabeba akiwa safarini, ndio pekee anaemtakia safari njema na kumuombea, ndio anaefua boxer zake na kutunza vizuri, ndio anaepika chakula kitamu, ndio anaetandika kitanda chake, ndio anaejua juice gani baba anapenda, ndio anaejua kama watoto wamerudi vipi kutoka shule, vilevile ndio anaejua kama watoto wake wanaumwa ama vipi.

Sasa mnafikiri baba atamzawadia nini huyu binti ambae amebakiza kujua style anazopenda baba tu, si atamfundisha ili kesho asimsumbue tena mke wake ambae kila kitu lzm amuulize dada.

Akina baba hawaridhiki lakini wamama jitahidini hata kama mnamajukumu kiasi gani.
#Share Kama Nimenena Kweli
 
Hivi nawe utamtumia house gel kwa kila kitu mpenzi!!!
Mmh nashukuru Mungu hatunaga housegal kwetu hivyo mpaka nakua mkubwa namuona mama ana hustle na kuplay part yake kama mama yeye mwenyewe, na sisi sasa hivi tunafanya shughuli za nyumbani kama kawaida tukipata nafasi...big up to my mom i love her so so.
 
Hivi nawe utamtumia house gel kwa kila kitu mpenzi!!!
House gal najua atahitajika ila kazi ntakazompangia hazitokuwa personal kabisa ambazo zitaleta stress badae. Wanawake wengi nowdays wavivu acha hao waume zao wachepuke
 
House gal najua atahitajika ila kazi ntakazompangia hazitokuwa personal kabisa ambazo zitaleta stress badae. Wanawake wengi nowdays wavivu acha hao waume zao wachepuke
Nakuaminia wew mchapa kazi haupo kwenye hili kundi la 80%
Nakupenda sana sweetie[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Mmh nashukuru Mungu hatunaga housegal kwetu hivyo mpaka nakua mkubwa namuona mama ana hustle na kuplay part yake kama mama yeye mwenyewe, na sisi sasa hivi tunafanya shughuli za nyumbani kama kawaida tukipata nafasi...big up to my mom i love her so so.
Habari njema kwangu hiyo
 
Back
Top Bottom