fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Usiwe na kiherehere cha kuingilia ndoa za watu, usije ukashangaa Bi Amina anapost mtoto wa 3, hawatabiriki wale.
Sawa mkewe Ally.tia saini hati ya talaka umpe uhuru mkeo amechoka na umalaya wako,mkia wako unachovya kila shimo atakuvumiliaje?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣We umejuaje, Alikuchovya ?
Aisee, noma sana!
Kabisaa wanandoa siwaliagi muamana miyeeUsiwe na kiherehere cha kuingilia ndoa za watu, usije ukashangaa Bi Amina anapost mtoto wa 3, hawatabiriki wale.
Vijana hawaelewi.ZAMA ZA KUOA ZILIISHA KWISHA KABLA YA UHURU,
VIJANA PAMBANIENI KATIBA MPYA.
KATIBA ITAMBUA NDOA ZA MIKATABA