MPALESTINA MWEUSI
Senior Member
- Jun 6, 2012
- 140
- 117
Sifa zangu nimeweka nimeoa tayari, ila sifa zingine zitapatikana kwa mtu aliye serious akija PM au akituma emailSawa,ila mkuu mbona wewe sifa zako hujaweka?
Utaendaje sehemu bila mwenyeji, inakuwa ngumu labda kama hutafuti mkeKimbia chapu hapo Wete au Chakechake ujipatie jiko
Nahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake
Awe mweupe sio mweusi
Awe muislam metekelezaji
Awe na umri usiozidi miaka 30
Awe na elimu yoyote, lakini awe tayari kutofanya kazi maofisini kwenye michanganyiko na wanaume
Akiwa ni Mwalimu au Daktari/Nesi haina shida japokuwa ofisi anayofanyia kazi lazima iwe na mazingira ya nidhamu na heshima
Yeyote ambaye yupo tayari tuwasiliane kwa email hamenyam@yahoo.com au ani PM. Kama una ndugu au rafiki au jirani ana sifa hizo pia nitaarifu
Duh ushauri wako muhimu, ngoja nitafute rafiki huko pemba, lakini siwapo pia wapemba waishio huku baraNenda pemba mkuu, huwa hawatumii JF wale utapoteza mda hapa
Duh ushauri wako muhimu, ngoja nitafute rafiki huko pemba, lakini siwapo pia wapemba waishio huku bara
Haya bwana ngoja nifanye na hiyo optionMatapeli hao, nenda kang’oe chuma chenyewe silidi kabisa huko pemba.. ila uwe makini maana nyuma waweza kuta break zimefeli
duh kwa nini unasema hivyoUtaoaa majini kijana achana namambo yakishambaa
Kwann unatafta mwanamke wakuoa tena unamtaka mpemba af tena kweny chichatduh kwa nini unasema hivyo
Mkuu naomba huo mzigo niuzie mimi![emoji53][emoji53]Inna njoo huku we shombe shombe .. nakuozesha nishakuchoka
Sasa mkuu nyuma atajuaje kama zishafeli au bado??Matapeli hao, nenda kang’oe chuma chenyewe silidi kabisa huko pemba.. ila uwe makini maana nyuma waweza kuta break zimefeli
Sasa mkuu nyuma atajuaje kama zishafeli au bado??