Hujaona kifaa alichokuwa anakinyunyizia protini naona. Pale namuunga mkono baba askofu... tatizo kabinti kenyewe hakajui kutoa ushirikiano mpk ikamkazibu baba askofu akakatikie ndombolo ya solo...Mbona mke wake mzuri tu natural
Wanaume wanahangaika mnoo
😂😂😂😂😂 hapa hata mimi ningechepukaView attachment 1091059
Ni mtu mzima!!
Na hungejesabiwa dhambi😂😂😂😂😂 hapa hata mimi ningechepuka
Freshi tu yaniNa hungejesabiwa dhambi
I stand with Gwajima!Freshi tu yani
Sawa mzuri ila hizo njiks hapo fasi unaonaje? Aisee kuoa ukiwa na dhiki ndio matatizo yake haya jamani ila Africa hela tunachelewa kupata tatizo. Ukisema usubirie uwe na hela utaoa ukiwa na miaka 40+ tunaoa mapema mademu wa kawaida sana au ugly types in expense ya assurance hawatatuacha kirahisi, watavumilia nasi kwa vipindi vigumu.Mbona mke wake mzuri tu natural
Wanaume wanahangaika mnoo
Me too mkuu! He did an outstanding jobI stand with Gwajima!
Utakuwa ni botom weweYes.. Nyumba nzima ya gwajiboy naijua.
Nahamia kanisani kwake rasmi. Anipe hata kauzee ka kanisa sio mbayaMe too mkuu! He did an outstanding job
sio africa tu ni dunia nzimaHakuna mwanaume ambaye ha cheat. Sema tu hatukamatwi.
Watumishi wanakutana na vikwazo vingi sana. Sio watumishi wa Tanzania tu ni Africa nzima
You mean waambukizane maradhi au?Mi i hate wanao-come up na conclusion ya wenzao kuachana wakisahau madhara ya conclusion hiyo, remember kuna watoto, wategemezi na 3rd parties wengine watakaopata madhara ya hilo unaloona kwako ni bora.
If your doing for good faith ni tuombee wapate suruhu isiyo ya kuachana!!
Kwanza kabisa namshukuru Mungu Leo nimezidi kuamini kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo.
Pili Mungu anatufungua macho wanadamu tuone Na tutambue kweli ipo wapi.
Naerejea kwako Mrs. Grace Gwajima. Kwa wasiomfahamu Grace Gwajima ndiye mke halali wa Josephat Gwajima. Ni mama wa msomi aliezaa na Gwajima watoto 3.
Kwa mliowahi kusali au kukutana na Gwajima mtaungana na mimi kwamba Gwajima ni mzee wa totoz na mama Grace amevumilia kwa muda sana.
Nilishawahi kumkuta live Gwajima akiwa na mmoja wa waimba kwaya wake enzi hizo (Linah Sanga) pale Ubungo Maji wakiwa katika pozi tata sana tena saa 6 usiku baada ya mkesha; sikujua nini kiliendelea baada ya hapo.
Kuna wakati tena muda wa usiku Bi Grace kushuka kwa kushtukiza kwenye ofisi za Gwajima na kumkuta na moja wa waimba kwaya wake. For the first time nilimuona Gwajima akiwa anatetemeka na kumuomba msamaha mke wake.
Kwanini nasema Bi Grace it's time for you to go?
Umevumilia mengi na scandal nyingi kwa mume wako achilia mbali ya kutoka na Frola Mbasha. (which is true 99%).
Kwa hili Gwajima kuchepuka tena kajirekodi Halafu pale ni nyumbani kwako GRACE amevuka mipaka.
Nenda zako kaendelee kufundisha London ulikokuwa.
You are better than that.
Hahaha he is deserved kuolewa kama ni meAlafu mtu mwenyewe mleta umbea ni ME!
Unaumwa photoshop hiyoKwanza kabisa namshukuru Mungu Leo nimezidi kuamini kwamba kutakuwepo na manabii wa uongo.
Pili Mungu anatufungua macho wanadamu tuone Na tutambue kweli ipo wapi.
Naerejea kwako Mrs. Grace Gwajima. Kwa wasiomfahamu Grace Gwajima ndiye mke halali wa Josephat Gwajima. Ni mama wa msomi aliezaa na Gwajima watoto 3.
Kwa mliowahi kusali au kukutana na Gwajima mtaungana na mimi kwamba Gwajima ni mzee wa totoz na mama Grace amevumilia kwa muda sana.
Nilishawahi kumkuta live Gwajima akiwa na mmoja wa waimba kwaya wake enzi hizo (Linah Sanga) pale Ubungo Maji wakiwa katika pozi tata sana tena saa 6 usiku baada ya mkesha; sikujua nini kiliendelea baada ya hapo.
Kuna wakati tena muda wa usiku Bi Grace kushuka kwa kushtukiza kwenye ofisi za Gwajima na kumkuta na moja wa waimba kwaya wake. For the first time nilimuona Gwajima akiwa anatetemeka na kumuomba msamaha mke wake.
Kwanini nasema Bi Grace it's time for you to go?
Umevumilia mengi na scandal nyingi kwa mume wako achilia mbali ya kutoka na Frola Mbasha. (which is true 99%).
Kwa hili Gwajima kuchepuka tena kajirekodi Halafu pale ni nyumbani kwako GRACE amevuka mipaka.
Nenda zako kaendelee kufundisha London ulikokuwa.
You are better than that.
Jamani kumbe hizo ndiyo sababu mnatuoa wanawake wabaya na mkifanikiwa mnaanza visa.Sawa mzuri ila hizo njiks hapo fasi unaonaje? Aisee kuoa ukiwa na dhiki ndio matatizo yake haya jamani ila Africa hela tunachelewa kupata tatizo. Ukisema usubirie uwe na hela utaoa ukiwa na miaka 40+ tunaoa mapema mademu wa kawaida sana au ugly types in expense ya assurance hawatatuacha kirahisi, watavumilia nasi kwa vipindi vigumu.
Ila imagine una hela kama Counsilor salaah at your 20's kwanini usioe mke wa maana tu.