Mke wa Askofu Gwajima umevumilia mengi, “it's time to go”

Mbona mke wake mzuri tu natural

Wanaume wanahangaika mnoo
Sawa mzuri ila hizo njiks hapo fasi unaonaje? Aisee kuoa ukiwa na dhiki ndio matatizo yake haya jamani ila Africa hela tunachelewa kupata tatizo. Ukisema usubirie uwe na hela utaoa ukiwa na miaka 40+ tunaoa mapema mademu wa kawaida sana au ugly types in expense ya assurance hawatatuacha kirahisi, watavumilia nasi kwa vipindi vigumu.

Ila imagine una hela kama Counsilor salaah at your 20's kwanini usioe mke wa maana tu.
 
Huyo siyo gwajima aliyelenga kumchafua kafanikiwa sana ila mwisho wa siku ukweli utajulikana tu,yaani ukiitazama video kwa umakini itabidi ujitoe ufahamu kuamini kama ni Gwajima
 
You mean waambukizane maradhi au?
 
Tumekujua wewe, unataka grace asepe wewe ukalie usukani..
 
Kajisevie kwa Mke wa gwajima, wewe ulijuaje chumbani kwa grace?

Hata ufanyeje huwezi mzidi Mchungaji ufundi, nyau wewe.😁
 
Unaumwa photoshop hiyo
 
Jamani kumbe hizo ndiyo sababu mnatuoa wanawake wabaya na mkifanikiwa mnaanza visa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…