Gwajima
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 253
- 406
Mke wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.
---
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amepatwa na msiba wa kufiwa na mkewe Rose Mrema. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mrema imesema mkewe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu ya maradhi ya shinikizo la damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
---
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amepatwa na msiba wa kufiwa na mkewe Rose Mrema. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Mrema imesema mkewe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo wakati akipatiwa matibabu ya maradhi ya shinikizo la damu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.