Title ya thread MKE. ukisoma ndani kwa thread MKWE. Yaani ili mradi uwe wa Kwanza ki post.Mkwe wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.
Mkuu ulitakaje kwani?Duu!!! Mrema Kweli Ngoma ngumu bado anadunda Tu
Mrema bado kijana sema tu kisukari na presha vimemmaliza kuna vizee huko,msuya,malecela vinakaribia 90Duu!!! Mrema Kweli Ngoma ngumu bado anadunda Tu
Uimara wa huyu Mama niliuona hasa Kipindi Mumewe anapitia wakati mgumu sana Kisiasa hapa nchini.Mke wa mzee Augustine Lyatonga Mrema amefariki dunia ktk hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu ya shinikizo la damu.
is there an impact on this