Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
MKE wa Balozi Mstaafu, Balozi Christopher Celestine LIUNDI, Bibi Rahma Simbaliundi, amefariji jana jioni jijini Dar es Salaam.
Mama Liundi amefariki akipata matibabu katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kampasi kuu ya Mlimani.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo hii, tarehe 24/01/21 saa 7 mchana, katika makaburi ya Wangazija, Mtaa wa Bibi Titi Mohammed, Mkabala na Maktaba Kuu ya Taifa.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Msikiti wa Al Maamur ulioko Upanga, jijini Dar es Salaam, ambako atasaliwa kabla ya mazishi.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Mama Liundi amefariki akipata matibabu katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kampasi kuu ya Mlimani.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika leo hii, tarehe 24/01/21 saa 7 mchana, katika makaburi ya Wangazija, Mtaa wa Bibi Titi Mohammed, Mkabala na Maktaba Kuu ya Taifa.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Msikiti wa Al Maamur ulioko Upanga, jijini Dar es Salaam, ambako atasaliwa kabla ya mazishi.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un