Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila hujajibu swali. Maana huwa naona Wawili wasio imani moja wanapoamua kuoana basi mmoja huamua kufuata imani ya Mwenzake...au la kila mmoja hubaki na imani yake....na ninayo mifano hata kwa Watu wangu wa karibu.... kilichowaunganisha sio imani bali "ndoa". Mmoja akishaondoka ndoa nayo imekwenda zake.
Siku hizi tanzia ni nyingi sana ila hutoambiwa sababu ya vifo!🚶🚶🚶Chukueni tahadhari ndugu zangu!
Hapa ndio sijaelewa.Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Msikiti wa Al Maamur ulioko Upanga, jijini Dar es Salaam, ambako atasaliwa kabla ya mazishi.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Hapo kwenye makusanyiko Sisi wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi na secondary tunafanyaje. Labda ndugu waumini wa makanisa na misikiti watupe ushauriNB: Vaa barakoa, kaa mbali na mkusanyiko na osha mikono kwa sabuni au tumia kitakasa mikono.
Hapo kwenye makusanyiko Sisi wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi na secondary tunafanyaje
Labda ndugu waumini wa makanisa na misikiti watupe ushauri
Na jee Kama nchi haijaendelea?Solution, mashule yafungwe musome kwa njia ya mitandao kama nchi zilizoendelea.
Al Maamur kuna majokofu ya kuhifadhia maitiHapa ndio sijaelewa.
Mwili umehifadhiwa msikitini?
RIP mama Liundi.
Na jee Kama nchi haijaendelea?
Mnataka muutaje ugonjwa ambao Magufuli haamini kuwa uko?Kusema mtu amekufa, hakuna ugonjwa hakuna umri ni kusema tu majina...
Yani haina hata maana... wamzike kwa siri tu kama wadau wengi wanavosema lila kitu kuhusu marehem ni siri...
Korona huwa haitamkikiKusema mtu amekufa, hakuna ugonjwa hakuna umri ni kusema tu majina...
Yani haina hata maana... wamzike kwa siri tu kama wadau wengi wanavosema lila kitu kuhusu marehem ni siri...
😂😂😂😂😂😂Solution, mashule yafungwe musome kwa njia ya mitandao kama nchi zilizoendelea.
Nakuhesabu Kama mbinafsi kwa kutokuzingatia mazingira halisi na hoja unayojaribu kuiletaKwa Tanzania hawashindwi kaka. Hii nchi ina pesa acha kabisa
Jiteute umenikumbusha mbali sana, enzi za kina daz baba na feruziHuyu mama niliwahi kuishi naye maeneo ya keko zamani kidogo karibia na Hostel moja ya wanafunzi wa shule ya Jitegemee inaitwa BIG BROTHER
Kuwa karibu sababu ni shule na hakuna njia mbadala itakubidi uuchukue tahadhari binafsi kama kuepuka kugusana au kuongea ovyo ni jambo la msingi.Hapo kwenye makusanyiko Sisi wanachuo na wanafunzi wa shule za msingi na secondary tunafanyaje. Labda ndugu waumini wa makanisa na misikiti watupe ushauri