Sasa hii talaka ni kuwa tu anataka kukomba pesa kumbe alijua siku nyingi kuwa ndoa ina matatizo.
It does not who u r.It is all about intelligence...Ilikuaje huyo mpelelezi akaweza kumfuatilia billionea Gates mara kwa mara bila kushtukiwa
Da hawa jamaa walikuwa wanakuletea mpaka video za kwichikwichiNimeikumbuka ile TV show ya Cheaters. Wale jamaa ukiwa na wasiwasi na mwenzao watafute watakukamatia mwizi wako chaap. View attachment 1812707
Hivi pesa huwa inazeesha au jamaa tu sura yake ngumu...?
Baada ya mume wake kuwa anatoweka ofisini muda wa kazi, Melinda alitaka kujua huwa ana kwenda wapi. Alikodi Private Investigator. Report ya PI huyo imefahamika kuwa jamaa alikua anakutana na totoz mchana, ndiyo msingi mkubwa wa talaka.
Hii Porches ya rangi ya dhahabu ndiyo aliitumia Mzee Bill kupata quick lunch menus.
Bill Gates disappeared from work in a golden brown Porsche to meet women and has been investigated by a PI appointed by someone in his wife Melinda's circle, Vanity Fair report claims
hakufundwa kwao huyu bibi.Huyu Melinda aje huku Kwamtogole tumfunde.
She worth 1.something bilionsHata mie ningekuwa billgate na mihela yote hiyo na umri huo, totoz ni lazima niruke nazo tu! Tena kwa sasa naona Bill ndio anafurahia life na totoz kwa uhuru zaidi, hakuna cha wa kumfumania wala kumfuatilia kwa kukodi!
Melinda amepata alichostahili kupata, hizo mali za kugawana siyo ishu sana kwa Billgate ndio maana kiroho safi tu alikubali kutalikiana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Melinda aje huku Kwamtogole tumfunde.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKule ndio noma,unaweza wekewa kifaa Cha GPS Bila kujijua.