Mke wa bob junior:Bob junior ana uhusiano usioeleweka na mr festo

Maneno yake hayana mshiko kabisa,kashazalishwa huyo awe mpole tu,kama alijua yupo hvyo mbona alimpa nanii yake?? Kaachwa ndo anaanza kutokwa mapovu,duh
 
Rumors,sio kila linalosemwa lazima liwepo,may be ni hasira tu za kuachwa
Yea inawezekana anatafuta namna ya kumuumiza ex mume, but hajui kuwa anajidharilisha na yeye coz anaonekana aliolewa na mume si ridhiki.
 

Kama kakutema ucmchafue mwenzako bana.
 
Mmh mbona kama hii mada imekaa kiumbea na kuchafuana? Wanawake wakishapigwa chini ndivyo walivyo, pole Bob Junior ila kama ni kweli mmmh kazi ipo
 
Lakini hizi tetesi ya kuwa huyu jamaa ni mchele mchele zilikuwepo tangu siku nyingi....
 
Sioni sababu ya kuamini hizi tetesi. Japo zimekuwepo kwa muda mrefu. Ni wakati sasa bob junia aje akanushe
 
Kama ukijua kisa cha bifu lake na diamond, basi utaelewa kila kitu
Nilikuwepo...
 
Jitu linanengua mauno kiasi kile,litaacha kuliwa kweli?
 
Unaolewa na mwanaume mnagombea vitana,hereni,cream,spray,mikorogo- mkienda disco mnatoka dro au pengine kukuzidi kukata mauno !!!!!! unategemea nini?

Ukipenda boga..........
 
Unaolewa na mwanaume mnagombea vitana,hereni,cream,spray,mikorogo- mkienda disco mnatoka dro au pengine kukuzidi kukata mauno !!!!!! unategemea nini?

Ukipenda boga..........

Ukipenda boga....... Na wewe lazima uliwe kiboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…