Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Mke wa producer nguli na mmiliki wa BeatsByDre, bwana Dr. Dre ameomba talaka baada ya kuishi wote takriban miaka 24 kwenye ndoa. Iwapo mahakama itaamuru waachane, basi mwanamama Nicole Young atapata nusu ya utajiri wa Dr. Dre unaokadiriwa kuwa takriban dola milioni mia nane (800$M) kwa ratings za mwaka 2019.


 
Dre punguani sana aiseee

Linaenda kuoa white women!

Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...

The nigga did that shit!

Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!

Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!

Dre,such a loser!
 
Hizi sheria ni za kijinga sana. Sometimes kuna haja ya kuwekeana makubaliano mwanzoni, kwamba mm na ww ni forever, ikitokea tumeachana basi kila mmoja anabaki na vilivyo vyake.
 
Mkiambiwa oeni wamatumbi wenzenu hamtaki.ndo hayo sasa kama yule mchezaji wa zamani wa arsenal Emanuel eboue..

Haya mablack American yanajikutaga mazungu acha yapigwe pesa na wenye nchi yao..

Sio ajabu tushishangae nigga akachunwa everything mpka kijiko
 
Hizi sheria ni za kijinga sana. Sometimes kuna haja ya kuwekeana makubaliano mwanzoni, kwamba mm na ww ni forever, ikitokea tumeachana basi kila mmoja anabaki na vilivyo vyake.
Kilicho chake kipi? Hapo hapo unataka saa kumi na mbili awe nyumbani, akufulie, akupikie, alee watoto...hicho chake anatafuta saa ngapi?
 
Ndipo hapa ninapowapinga waliberali.....
Jamani hebu TUWEKE HISIA za haki za kina mama pembeni.....
Yaani MWANAUME anahangaika toka ujana wake...ikumbukwe mpaka kuhangaika huko kafinyangwa na wazazi wake....halafu mke atakapo talaka basi HALF OF THE FORTUNE goes kwa mwanamke....
Huku ile half awatunze wanae,awasomeshe,awasaidie wazazi wake km wapo,ajipange tena kimaisha.Kumbuka Dre ni mwafrika...hata km Yuko kwa weupe bado zile Mila za UJAMAA WA KIFEMILI hauishi damuni mwetu.......

Msinifikirie vibaya ila nashangaa sioni ikipigwa pasu kwa pasu kwa wake matajiri pale wanapotalikiana na waume zao.....kwani wake matajiri hawapo?!!!

SERA NYINGI ZA KILIBERALI ZIMEUNDWA KWA AJILI YA MFUMO WA WATU WEUPE huku zikipigia chapuo FEMINISM....

Kiukweli sera HIZI zinaumiza Sana hasa kwa sisi waafrika na wasio wamagharibi.

Jamani KUTAFUTA Mali ndio kugumu kuliko yote DUNIANI...we huoni mpaka baadhi ya wenzetu huwa "mabaradhuli" wakaendewa na wanaume jamili zao.
We huoni mpaka watu wanamkana muumba wetu na kufanya makafara ya damu za vipenzi vyao ili mradi tu wapate MALI...
Yaani mi nadhani huko kwa kina Drake HAKUNA makafara ya kuwafanya ndondocha watoto,waume,wake na wazazi wao.
KWANI
Yangekuwepo hayo nadhani wasingeweka vipengele vyenye kupendelea WAKE ZETU.....

Yaani mi nnavyohangaikia vitoto vyangu halafu siku mwenzangu atake talaka na atake PASU KWA PASU yangu kisa ANANIPIKIA KISA ANANIPA USINGIZI KISA ANANIFULIA MASHATI yangu Yale ya kampeni za CCM na zile kanzu ZANGU ninazokwendea kula biriani katika hafla TOFAUTI....
Yaani wallahi nampandia boti CHOKOCHO Pemba,Bweni TANGA,Kasulu Kigoma kumtafutia KIJINI MAKATA cha laki 5πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…