Kuna tofauti. Naenjoy navimada ila narudi nyumbani....Hata nyie mna kero kubwa Sana Kuna wanawake wengine wameanza chini mkipata hela mnakimbia wake zenu, na ku enjoy na vimada.
So hyo tabia iko kila corner regardless ya jinsia
It's okay if that's give u happiness, then just do it.Kuna tofauti. Naenjoy navimada ila narudi nyumbani....
Acha huyu dada apige spana hilo nigga yajifunzeKwanini aache vitu walivoshirikiana naye 24 year's eti kisa tamaa, kwani huyo mama hamna alichofanya?
Watu watengane kwa uzuri au ubaya lazima wagawane vitu
Miaka 24 mingi Sana kumuacha mtu bure bure imagineAcha huyu dada apige spana hilo nigga yajifunze
Yaani huyu demu kulala uchi na jef tu kapiga hela ndefu tajiri wetu no.1 Africa hagusi!
Ha ha ha kweli huwez jua hwenda hta mnyama Dre akawa homo n bisexual mana huko Kuna tuhuma nyng ktka music industry kuwa fagg..s LGBGT wa kumwaga,Cent ashawah mtuhumu Diddy...
Weka picha mkandamizaj
Kwahiyo Andre Young ndio anaye FVCK Mother hahahahahahaaaa!
Ila kweli dea sio uwongo,angalia mabilionea wengi hawajaoa wanawake wenye misambwanda bilgate hadi Mengi angalia na hao dre
Na mnyamwez alishawahi oa si unakumbuka karibuni
Je yule wa Stephen Curry,is she white?
Shit ma nigga[emoji16]Dre punguani sana aiseee
Linaenda kuoa white women!
Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...
The nigga did that shit!
Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!
Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!
Dre,such a loser!
Ndugu nimefuatilia post zako kwenye uzi huu, nimegundua una tatizo kubwa sana la kisaikolojia na linahitaji tiba ya haraka sana!Namkubali sana Sean Combs (Puff daddy) jamaa amekomaa hadi sasa ana 50 years hawa malaya wamemuwinda wanaambulia mimba tu na anatemana nao watoto wakiwa wakubwa.... Watoto wake ni wakubwa balaa na anakaa nao mwenyewe.
Nikasema safi sana..... Kwa umri aliopo hana haja ya ndoa..... Hawa chuma ulete huwa wanataka kutuaminisha kuwa bila wao sisi wanaume hatuwezi toboa kumbe kinyume chake wanasafiria nyota zetu kujinufaisha....kutuzeesha tu na mabili ya kipuuzi mara wigi, mara nywele, mara mapochi, mara simu mpya mara mitoko all that for what....?!
Pumbavu sana... Piga chini huko....
Lipi hilo mkuu?!Ndugu nimefuatilia post zako kwenye uzi huu, nimegundua una tatizo kubwa sana la kisaikolojia na linahitaji tiba ya haraka sana!
Mahusiano yako ya mwisho yaliishaje?Lipi hilo mkuu?!