Mzungu yupo wapi hapo unamjua vzuri Mariah Carey km ni mtu mweusi ndio itakuwa huyo mke Dr. dre...Aunt umewahi
Mleta mada.Sababu ni nini?ila hawa black wenzetu hasa wenye hela wanapenda wazungu na sio black wenzao. Mwisho wa siku divorceau vifo vya kutatanisha.
#miesiombaguzi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] AnkooHawana uzalendo basi,au kuna kinachowavutia kutoka kwa wazungu... ila ata mimi nikipata hela naolewa na mzungu aunt[emoji18]
Kwa wanaojua wanawake wa kizungu bx NI kweli ukiwa nao in love,are extremely caring,tender loving,they are so really,the problem ni kuwa Bora uwe lofa...ukiwa unajiweza KIDOGO siku kikinuka tu,basi mpaka handkerchief zitapigwa mnada iwe pasu kwa pasu hataree wallahiHahaha eti chuma ulete ya kizungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kanye West na kampuni ya Yeezy anakuja kwa Kasi kuchukua hiyo namba 1
Hata atafute vip maisha yake yote asingeweza kusanya 400mill $Kilicho chake kipi? Hapo hapo unataka saa kumi na mbili awe nyumbani, akufulie, akupikie, alee watoto...hicho chake anatafuta saa ngapi?
Hahaha dah wewe mrembo hata usipokua na hela mzungu unamdaka tu ,kuwadi mange.
Kuishi sana majuu wanajikuta na kaugonjwa ka kupenda watoto shombe shombe. Mtu kama sadio mane ili kuikimbia rangi yake isienee kwa wanae anaoa kazungu kanamletea vitoto vizungu.
Kanye nae kadaka ka kim kake,jay z kadaka kachotara bey,kobe alidaka mzungu wake,pogba ana kazungu list ndefuuu
Simpsons fvcked up,Tiger Woods fvcked up,Kobe Bryant dead,Ice T fvcked up,Dre shitting on himself now,etckwa U.S ukishakuwa multi millionaire ni risk sana kuoa.unaikumbuka ile case ya Simpson
Kimkakati ZAIDI...Ila aangalie, hata Kim Kardashian simwamini sana naona Yuko very strategic
Abee ankooo, Kaka Dae kasema yanini kulala gizani wakati mwangaza upoo π[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ankoo
[emoji16]Ila aangalie, hata Kim Kardashian simwamini sana naona Yuko very strategic
Kwa wanaojua wanawake wa kizungu bx NI kweli ukiwa nao in love,are extremely caring,tender loving,they are so really,the problem ni kuwa Bora uwe lofa...ukiwa unajiweza KIDOGO siku kikinuka tu,basi mpaka handkerchief zitapigwa mnada iwe pasu kwa pasu hataree wallahi
We hukumbuki wengi waliochukuliwa utumwani walikuwa KABILA la "kinyamwezi" kwa totoz white balaaaaaaSimpsons fvcked up,Tiger Woods fvcked up,Kobe Bryant dead,Ice T fvcked up,Dre shitting on himself now,etc
Hua sielewi inakuaje unashindwa kuoa a human being who looks like you,I really dont get it!
Wakat kanye anamchumbia kim .kim alikua na mkwanja kuliko kanye...labda useme lingneKimkakati ZAIDI...
Imagine mnaishi miaka 24 halafu mnaachana
Simpsons fvcked up,Tiger Woods fvcked up,Kobe Bryant dead,Ice T fvcked up,Dre shitting on himself now,etc
Hua sielewi inakuaje unashindwa kuoa a human being who looks like you,I really dont get it!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]na pengine hata kuolewa aliolewa kimkakati
Mzungu yupo wapi hapo unamjua vzuri Mariah Carey km ni mtu mweusi ndio itakuwa huyo mke Dr. dre...