Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Ndipo hapa ninapowapinga waliberali.....
Jamani hebu TUWEKE HISIA za haki za kina mama pembeni.....
Yaani MWANAUME anahangaika toka ujana wake...ikumbukwe mpaka kuhangaika huko kafinyangwa na wazazi wake....halafu mke atakapo talaka basi HALF OF THE FORTUNE goes kwa mwanamke....
Huku ile half awatunze wanae,awasomeshe,awasaidie wazazi wake km wapo,ajipange tena kimaisha.Kumbuka Dre ni mwafrika...hata km Yuko kwa weupe bado zile Mila za UJAMAA WA KIFEMILI hauishi damuni mwetu.......

Msinifikirie vibaya ila nashangaa sioni ikipigwa pasu kwa pasu kwa wake matajiri pale wanapotalikiana na waume zao.....kwani wake matajiri hawapo?!!!

SERA NYINGI ZA KILIBERALI ZIMEUNDWA KWA AJILI YA MFUMO WA WATU WEUPE huku zikipigia chapuo FEMINISM....

Kiukweli sera HIZI zinaumiza Sana hasa kwa sisi waafrika na wasio wamagharibi.

Jamani KUTAFUTA Mali ndio kugumu kuliko yote DUNIANI...we huoni mpaka baadhi ya wenzetu huwa "mabaradhuli" wakaendewa na wanaume jamili zao.
We huoni mpaka watu wanamkana muumba wetu na kufanya makafara ya damu za vipenzi vyao ili mradi tu wapate MALI...
Yaani mi nadhani huko kwa kina Drake HAKUNA makafara ya kuwafanya ndondocha watoto,waume,wake na wazazi wao.
KWANI
Yangekuwepo hayo nadhani wasingeweka vipengele vyenye kupendelea WAKE ZETU.....

Yaani mi nnavyohangaikia vitoto vyangu halafu siku mwenzangu atake talaka na atake PASU KWA PASU yangu kisa ANANIPIKIA KISA ANANIPA USINGIZI KISA ANANIFULIA MASHATI yangu Yale ya kampeni za CCM na zile kanzu ZANGU ninazokwendea kula biriani katika hafla TOFAUTI....
Yaani wallahi nampandia boti CHOKOCHO Pemba,Bweni TANGA,Kasulu Kigoma kumtafutia KIJINI MAKATA cha laki 5[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli hata Mimi sinto muacha salama
 
Kanye West na kampuni ya Yeezy anakuja kwa Kasi kuchukua hiyo namba 1
Kanye yuko on fire ..but awe makini tu ile family aliyoenda kuoa siku akisema aachane na Kim ndio utakuwa mwisho wake
 
Kuna watu wanaongea lugha/kiingereza kigumu humu, yaani ni ngumu hata kuelewa nini anataka hadhila hii ipate
 
Dre punguani sana aiseee

Linaenda kuoa white women!

Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...

The nigga did that shit!

Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!

Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!

Dre,such a loser!
Nicole Young is not white.
 
Wangari mimi naongelea hii issue in general,sio kuhusu Dr. Dre tu. Hizi sheria mara nyingi zinatukandamiza wanaume, na ndio maana nawaambia wenzangu tuwe makini. From the scratch mnawekana wazi, what we can do is to help each other, lakini chako chako na changu ni changu.
Mkioana mali mnazochuma ni za wote. Dre na mkewe watagawana mali zilizopatikana WAKATI WAKO KWENYE NDOA TU,alichokuwa anamiliki Dre kabla ya ndoa hakitaguswa. Hata hapa Tanzania hiyo sheria ipo. Pia watu wajue kwamba hii sheria ina-apply kotekote. Ingekuwa Nicole ndiye mwenye mpunga wangegawana vile vile.
 
Mkioana mali mnazochuma ni za wote. Dre na mkewe watagawana mali zilizopatikana WAKATI WAKO KWENYE NDOA TU,alichokuwa anamiliki Dre kabla ya ndoa hakitaguswa. Hata hapa Tanzania hiyo sheria ipo. Pia watu wajue kwamba hii sheria ina-apply kotekote. Ingekuwa Nicole ndiye mwenye mpunga wangegawana vile vile.


Sheria inategemea na makubaliano tangu mwanzo. Pasu kwa pasu inakwenda kama hakuna prenup. Kwa upende wangu mimi sitaki kushirikiana kiuchumi, I know the struggle very well. I was born with nothing, kwahiyo sitaki mtu yoyote anitumie kwa hila. Believe me, I can give a lot na mpenzi wangu anaweza kufaidi bila limit, lakini msimamo wangu ni palepale. Usinitanie kwenye maswala ya mkwanja.
 
Ma black ilaya wanaoa wazungu sababu wanawaje wao wamepinda.



Hamna mtu limbukeni na iga iga km mwanamke mweusi yaani ukienda ulaya wao ndo wanaongoza kwa tabia chafu ujinga ujinga wote wa mastar wa ulaya unaigwa sana na black women plus ni wakorofi kwelikweli

Kwahiyo ni sawa kbs mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa mwanamke mwenye tabia za ajabu
 
Sheria inategemea na makubaliano tangu mwanzo. Pasu kwa pasu inakwenda kama hakuna prenup. Kwa upende wangu mimi sitaki kushirikiana kiuchumi, I know the struggle very well. I was born with nothing, kwahiyo sitaki mtu yoyote anitumie kwa hila. Believe me, I can give a lot na mpenzi wangu anaweza kufaidi bila limit, lakini msimamo wangu ni palepale. Usinitanie kwenye maswala ya mkwanja.
Dre na mkewe hawana prenup.
 
Hizi mbweha Dr Umar Johnson anazionya kutwa kuhusu kukimbilia kuoa hivi vibibi vya kizungu lakini hazielewi.

Hela haina maana kwao bila white woman,hovyo kabisa.
Dr Umar,huwa namskiliza sana yule jamaa,ana point sana na inaonekana anaipenda sana Race yake.Anakwambia".A real black man should marry a black woman"..Period.
 
Dr Umar,huwa namskiliza sana yule jamaa,ana point sana na inaonekana anaipenda sana Race yake.Anakwambia".A real black man should marry a black woman"..Period.
Yule jamaa ni hatari,anajenga hoja kiasi kwamba ukitaka kupambana nae ujipange haswa otherwise utajikuta umekuwa mpenzi msikilizaji tu.
 
Hahahaaaaa

Kumbe ni hii takataka inayofanya online pursing ku-estimate wasifu wa mtu?

Site inayo-estimate eti snoop ni jew na ni gay?

Fvck this nonsense of a site mzee

Lete serious article kutoka katika serious publication au her own interview..hizi zingine takataka!
Well, it's your turn to prove that she is white.
 
Hahahaaaaa

Kumbe ni hii takataka inayofanya online pursing ku-estimate wasifu wa mtu?

Site inayo-estimate eti snoop ni jew na ni gay?

Fvck this nonsense of a site mzee

Lete serious article kutoka katika serious publication au her own interview..hizi zingine takataka!
Still waiting ...
 
Back
Top Bottom