Mke Wa Dr. Salaa Josephine Alonga Na JF

Status
Not open for further replies.
one of the greater thinker. umefikisha miaka kumi nane kweli wewe? utumbo gani huu unaandika humu
========

OK, msg delivered. Sasa tuongee hoja na sera tuachane na ndoa za watu.
Watu wazima na sisi tusio na miaka 18 tumeweka ilani pembeni tukaanza mambo ya ajabu.
Dr. Slaa ametoa Ilani na ahadi. Tuzihoji. Ndoa yake haikusababisha matatizo ya watanzania.
 

ila ugonjwa wa jk ndo halali kuwa siri? Mbona habali leo hawakuripoti tukio ambalo kila mtanzania alishuhudia kuwa ni siri! Acheni unafki nyinyi! Hiyo habari yenyewe haikuwa balanced so wewe una uhakika gani yaliyo ongelewa humo, after all sisi niwatu wazima wala hatubabaishwa na habari za udaku za vyumbani! Ni hiyo issue ni ya kupuuzwa
 
Mkuu mtu tunaye taka kumchagua kwenda ikulu hatujui hata status yake ya ndoa, yeye kamtanbulisha kama mchumba wake kisha josephine kaandika mume wangu, ndio ikaulizwa kwa ndoa gani?
nakama ni kimbulu si aseme tu kunashida gani
 
hatuna tatizo na mila wala utamaduni ila yeye mwenyewe ndie anaepingana nazo kwa kutupa reference za bible na kwenda kufunga ndoa kanisani.

Ikiwa yeye mwenyewe hajijui kama anafuata mila au bible sisi tutamsaidiaje?
acheni cheap politics za eveything goes, hiyyo ndo inadhihilisha kuwa ccm wanahofu kubwa na dr slaa kwa kutumia kila cheap politics hawajui kuwa wao ndo zitawaumbua kweli kweli sio leo wala kesho, waswahili wanasema mpanda ngazi hushuka! Then kuweni makini n athis bulshit na waandishi uchwara!
 
mhhh huyu mama mbona ana hekima zmepitiliza....Hivi siruhusiwi kupiga kura mara mbili jamani nimpigie huyu Dr.Slaa mara mbili mbili.....maaana baba chuma mama naye chuma....Duh
 

tena hofu wanayo na imezidi baada ya juzi maaskofu kule mbeya kususia mifutari yao waliyoandaaa
 
Natumaini watu wengi hawana wasi wasi na sera za Dr Slaa ninzuri sana kama zilivyo za vyama vingine
na hiyo unayo iita ndoa imeleta matatizo kwa baadhi ya watanzania akiwa mume halali na watoto wa na ndugu zo wa karibu
 
Mkuu mtu tunaye taka kumchagua kwenda ikulu hatujui hata status yake ya ndoa, yeye kamtanbulisha kama mchumba wake kisha josephine kaandika mume wangu, ndio ikaulizwa kwa ndoa gani?
nakama ni kimbulu si aseme tu kunashida gani


ndoa inahusiana nini na ikulu...Ni heri kuwa na ndoa isiyoeleweka kuliko kuwa na wanawake na mitoto kila kona halafu ukataka kwenda ikulu
 
Yah hizi kele zingine hazi mbele wala nyuma eti wanataka kumpangia Josephine lini aanze kuita mme it is nonsense kuna watu hapa walianza kuishi kama vimada tu hadi leo wana watoto na bado wanaitana mme na mke. Mimi nina watoto wanne sasa nilitoa mahari tu hatukufanya harusi mamsapu wangu toka nitoe kishika uchumba ananiita mme, hawa watu wanataka kunichonganisha na mke wangu naye aache kuniita mme.

Halafu wanahoji ya Slaa kwa vile yuko upinzani kama wanauchungu na ndoa za viongozi kwa nini hawakumhoji Mkapa alipomnyang'anya Mramba mke ili awe rais, na kwa nini hawamhoji Msekwa kumnyang'anya Simba wa vita RIP Kawawa mke wake hadi sasa Msekwa anaishi na Anna Abdala nao tuseme bado ni vimada hawaitani mme na mke, ajabu nyani kucheka nyuma ya mwenzake wakati kwake kuko wazi.
 

Kachafuliwa kwa nani wasoma magazeti wote ni wajanja na wanaupeo mkubwa wa kuchambua mambo na kujua hizi ni politics of everything goes! Dr kawapiga kombora la WIZI WA FEDHA ZA UMMA wao wanatoka na album yenye track mbili UPADRI WA DR SLAA NA NDOA! sijuui kama unanielewa hawa watu wamekwisha na hizi cheap dirt tricks ndo zinawamaliza kabisa, so haina haja ya kujibu upuuzi wakati watu tuna ongelea issue kubwa zenye manufaa kwa TAIFA zima, hao watu wa vijijini hawana hata pesa ya kunua magazeti na magazeti hayafiki vijijini so haina haja ya kujibu chochote ila ni kuendelea kuwapiga nyundo, tu!

Sasa watakuja na mpya gani? Dr ataendelea kuwatandika nyundo tu mpaka watatia akili
 
mhhh huyu mama mbona ana hekima zmepitiliza....Hivi siruhusiwi kupiga kura mara mbili jamani nimpigie huyu Dr.Slaa mara mbili mbili.....maaana baba chuma mama naye chuma....Duh
ukipenda sana chongo unaona kengeza
 

Natumai umenukuu hayo uliyoyaandika kutokana na yale yaliyoandikwa kwenye "Habari Leo" na "CHANGAMOTO". Mojawapo ya Amri Kumi za Mwenyezi Mungu (ambazo ni kwa watu wote) ni ile amri inayosema "Usimshuhudie jirani yako uongo".

Mfumo wetu wa jinsi ya kutenda haki unawataka anayeshtaki na anayeshtakiwa wapewe haki sawa. Kwa Mhariri wa gazeti kuandika tuhuma za upande mmoja, sio tu kwamba anakuwa hajatenda haki, lakini anakuwa amekiuka maadili ya uandishi wa habari.

Unadai kwamba mama Josephine "amewaacha watoto nyumbani na kwenda kujirusha na Slaa kule Mtongani", hebu tukuulize: ULIKUWAPO? UNA UHAKIKA?

Habari za kusikia, au kusoma kwenye gazeti, kamwe haziwezi kuwa ushahidi unaokubalika mahakamani. Zinaitwa "hearsay evidence", yaani, "ushahidi wa kufikirika".

Kabla hujahukumu, tafuta ushahidi usiopingika, usiwe MSHABIKI! Ushabiki utakuponza, kama ulivyowaponza wana-CCM wengi.

Hizi ni njama za CCM - kuwatafuta mamluki - kumchafua Slaa. HAWAMCHAFUI, bali, WANAMJENGA! Kama si kweli wanafanya hivyo, hakukuwa na sababu ya KUGAWA BURE nchi nzima kijarida cha CHANGAMOTO, tena baada ya kuchapisha nakala 45,000, wakati kijarida kile kinachapishwa si zaidi ya nakala 5,000 kwa wiki!

Mungu Ibariki Tanzania! Tuepushe na mafisadi hawa!

-> Mwana wa Haki
 
point noted tusubiri baada ya uchaguzi tuone
 

Unataka uthibitisho. Mwanzoni kabisa niliwaambia nina furushi la information za Slaa. Hizi sasa hivi ni rasha rasha tu, ndogo sana. Stay tuned
 
ndoa inahusiana nini na ikulu...Ni heri kuwa na ndoa isiyoeleweka kuliko kuwa na wanawake na mitoto kila kona halafu ukataka kwenda ikulu
Kigogo hawa watu ni simple minds. Hawana jipya. Kwani Zuma alikuwa ana skendo ngapi kabla ya kupewa urais. Na ameshindwa nini katika kuendesha nchi? Lets look on what the guy is going to do for Tanzanians rather than these cheap politics za kuchafuana.
 
Slaa achafuliwe na nani, kwa tanzania ninayoijua hakuna kiongozi yeyote wa CCM anayeweza kumchafua Dr. Slaa, wanajichafua wao na matope yanawarudia wao. Sasa Slaa anajulikana zaidi kuliko zamani. Hata Republican walianza kuingilia ndoa ya Obama kwa kumhusisha na Pastor mwovu asiyependwa na wamarekani lakini at the end matope yakawarudia.
 
ndoa inahusiana nini na ikulu...Ni heri kuwa na ndoa isiyoeleweka kuliko kuwa na wanawake na mitoto kila kona halafu ukataka kwenda ikulu


lakini mkuu nina huyo unamzungumzia maana hata Dr ana mitoto na wanawake,
ndoa ni muhimu kwa rais mkuu hatuwezi kuwa na rais muhuni anaye iba wake za watu na akajificha kwa kivuli cha private matters
 
Mkuu nakwambia hii issue ni mahususi kwaajili ya kupata kura za akina mama kuwa Dr ni hafai anaharibu familia za watu na amewazalilisha wanawake
 
Unataka uthibitisho. Mwanzoni kabisa niliwaambia nina furushi la information za Slaa. Hizi sasa hivi ni rasha rasha tu, ndogo sana. Stay tuned
Kwa hiyo wewe umeona matatizo ya watanzania yatatatuliwa na wewe kuwa na FURUSHI la information za Slaa guys tukue kiakili basi tuache ushabiki.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…