kukosea kunukuu kifungu cha bibilia umeona kosa kubwa sana ambalo hawezi kulifanya,ila kuvunja kiapo cha ndoa halali iliyofungwa kanisani kwa mkristo safi kama yeye kwako its okNdugu wana JF, huyu sio Josephine. Aliyeandika hii habari si ajabu ni Makamba au pandikizi la Makamba. Muandishi anayejiita Josephine amequote mstari wa bibilia kutoka kitabu cha Efeso kimakosa kabisa. Efeso 4:13 inasema hivi "Hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu,hata kuwa mtu mkamilifu, hata katika kwenye cheo cha kimo cha uaminifu wa Kristo"
Maneno ya "Nayaweza yote katika yeye anitiaye Nguvu" yanapatikana kutoka Barua ya Mtume Paulo kwa Wafilipi 4:13
Ni watu kama Makamba ambao wanajifanya kuijua Bible ambao wanaweza kufanya kosa liliofanywa kwenye makala hiyo inayodaiwa kuandikwa na Josephine. Kwa mkristo mlutheri kama Josephine ambaye amesoma bible wakati wa kipaimara, hawezi kutenda kosa kama hilo. Huo mstari ni maaruf, tunauimba wakati wote -- wafilipi 4.13,, ninayaweza mambo yote........ Wale ambao ni walutheri hapa mtakubaliana na mimi.
JF we got to be serious now, kila kinachopostiwa hapa tunaanza kukijadili bila hata ya kujiuliza kweli kina merits za kujadiliwa. I do not trust hii post, inabidi Josephine aka Makamba atafuet mbinue nyingine. Media sasa hivi imevamiwa, so we have to be careful guys!!!
Hii habari imepandikizwa-- Sorry siwezi kuichangia!!!
ukipenda sana chongo unaona kengeza