Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umewapiga nyundo....hahahaWaafrica bwana...wanajidai wana akiliiii wakati watu wentewe wanawaza na mikundu yao.
Ona watu wanaowaza kwa akili zao mambo wanayoyafanya huko duniani.
Nyie tutulizane tugegedane tuuu
Wanakera bwana ...oh ngono mawazi ya kimaskini...pumbavu!Naona umewapiga nyundo....hahaha
Uchumi bila sex ungezaliwa na kuja hapa JF!Akili za kimasikini...mkiwa bize kujenga uchumi sex sio kipaumbele,ni pale unapokua na hisia tuu,sio ulazimishe hisia
Sasa mtagegedana bila kula?Ah wee sex ndio ndoa yenyewe bro.
Wee tugegedane mambo yakujidai mafilosofa hapa achane i nayo kabisa waafrica hatuna akili.
Aklili muachieni mzungu.
Wee vyakula vimejaaa tele hii dunia ushindwe wewe tuuSasa mtagegedana bila kula?
Demi uliposikia huduma upande wa pili inasitishwa ndio unajua kuna kukaa mezani??Watu bana! Kaeni chini mzungumze. Aliyekwambia ukiacha kumuhudumia atapauka ni nani? Unatengeneza tatizo jipya...
Ukiona unanyimwa kuna sababu muulize atakwambia
Hapana liwekewe kodiTendo la ndoa lifutwe.....
Lifutwe tu linaleta migogoro sanaHapana liwekewe kodi
Ili utongozaji uondolewe,, NB. Hii haiwahusu wale walioamua kufanya bure kwa hiari zao wenyewe mnaita kublesiana..
Na bado unawaza ngono tu maana hata hao wa masayantisti wanawaza kuoana ndoa za jinsia moja,, bado ni ngono tu tena chafu..Wenzio tunawaza namna gani chombo tulichokituma kwenda kuchunguza jua kitakamilsha mission yake salama bila kulipuka.wewe huko africa mashariki unawaza ngono tu.pathetic
Likifutwa kuna watu walipewa vyeo kwa ufaulu wa ngono watakuwa stripped off..Lifutwe tu linaleta migogoro sana
🤣🤣🤣🤣 nilodhani kwamba utanipa mrejesho kwamba tayari ameshaondoka, kumbe bado yupo unasubiri nini kumtimua?Demi uliposikia huduma upande wa pili inasitishwa ndio unajua kuna kukaa mezani??
Hakuna cha kutengeneza tatizo jipya labda kwake!!
Ila kwangu ni kwamba unaondoka kwenye maisha yangu..
Huwezi ukaendelea kunimalizia oxygen halafu huna chochote nachonufaika nacho..
Demi must go
😂😂😂😂👊Ebu kwenda zako huku. Eti akili za kimaskini 🤣🤣🤣
Haya nyie wenye akili za kitajiri mpaka leo mnajengewa vyoo na nchi ambazo wanafanya ngono zembe.
Wee tulizana bro enjoy sex akili achia wazungu
Get yourself an older woman born between 1998 - 2001 and settle downKwa wanaume walioa kanuni iko hivi:
Kama mke hakupi sex ya kuridhisha, kusex mpaka alazimishwe.
Asubuhi anakuchungulia tu haamki mpaka ahakikishe tayari umevaa suruali unataka kuondoka ndo anakurupuka kitandani.
Huyo wala usihangaike we muache apauke tu, hafai kununuliwa hata chupi, muache kiatu akitembelee mpaka kitoboke ndo ufikirie kumnunulia kingine.
Huyo hajui kujigijigi ndo msingi wa ndoa.