Mke wa JK akumbana na mauzauza

Mke wa JK akumbana na mauzauza

Hivi huyu Ngasongwa ana mbadala,mbona mbovu toka siku nyingi tu-wananchi wa Mahenge tafuteni mbadala lazima yupo -ila tu asitokee Mjini atakuwa kama Ngasongwa kutwa yupo dar.Msipigie kura 2010.

mdau wa Lusungo Ipinda Kyela.
 
ngasongwa hatufai hata kidogo..atoke tu.hafai.
mwana mtimbila hapa.
 
Back
Top Bottom