Mke wa Jose Chameleone ashuhudia mmewe akitandikwa mabanzi na P-funk majani Kampala

Mke wa Jose Chameleone ashuhudia mmewe akitandikwa mabanzi na P-funk majani Kampala

P. Funk kweli mtemi.. ugenini ila anakutia vibao ... hapo ameonesha tofauti kubwa sana na watanzania wa kawaida... ile tabia yetu ya kusema namwachia Mungu inatufanya wageni watuone mazuzu
Kabisa
 
Chamilioner ujanja ni kumualika kwenye show na kumtembezea chupa za kichwa..... Aache kupenda mteremko mtoto wa kiume...... Halafu mamlaka zetu sijui kama wanampa support Majani.....
Mamlaka zetu za kijinga
 
Back
Top Bottom