Mke wa Kafulila ni Jembe Sana

Mke wa Kafulila ni Jembe Sana

Kweli tumbo na cheo havijawahi kumwacha mtu salama.
Yani mke anamsema mmewe kisa cheo, hapo hakuna ndoa bora kila mtu ale hamsini zake.
Ila huyu mwanamke hana busara najua wengi watamuumga mkono kwakuwa kafulila kahamia ccm wasiyoipenda ila bora hata angekaa kimya kuliko kumfhalilisha hivi.
 
Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
Unajuaje,labda wamepanga hivyo ili wale kote kote
 
Natumaini wana janvi wote wazima wa afya,nimelazimika kuandika Uzi huu baada ya kusikiliza maelezo ya mke wa Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini Bi Jesca Kishoa Kafulila!
Nimeshindwa kuleta video yake hapa kwa sababu sina utaalamu huo lakini nawaombeni mwendeni Utube msikilize maelezo yake naamini kila mtu atafurahia km nilivyofurahia mm!!
Hata hivyo tunahitaji wanawake ka Jesca Kishoa ili nchi yetu iweze kujikomboa kifkra,kimtazamo,na kimaendeleo ya jamii kwa ujumla.Asante sana Jesca Kishoa!!!
hivi huyo mke wa kafulila anajua for better for worse?
 
Ina maana hana jina mpaka mtumie jina la kafulika?
 
Imeandikwa 'mwanamke mpumbavu ataibomoa nyumba yake mwenyewe' mwisho wa kunukuu
 
Huwezi kuwa baba wa nyumbani,halafu wife ndo atoke kutafuta hela,
lazima ndoa itayumba tu,
kafulila hakuwa na jinsi ila kurudi ccm labda watamkumbuka hata ukuu wa wilaya,

na wakimsahau anaweza hata kujinyonga huyu mtu
 
Nimempenda huyu dada kwa kujitambua kiasi hiki. Kama mume ni tumbili basi ni tumbili tu kamwe hastahili kuheshimiwa na mkewe. Unafanyaje maamuzi ya kuhama chama bila kumtaarifu ubavu wako na kumuacha naye asikie kwenye vyombo vya habari kama Watanzania wengine. Tumbili hamkutendea haki mkewe na hili limeingiza dosari kubwa sana kwenye ndoa yao na sitashangaa kama miezi sita ijayo hii ndoa itakuwa imevunjika.
never trust a politician
kumbuka jesca ni mbunge wa kuteuliwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wengi wanaoshabikia huyu mama aidha ni wavulana au hawajaoa. Mke au Mume lazima umsitiri! Siri za ndani lazima uzitunze! Unakumbuka rose kamili alijibu nini baada ya Dr Slaa kuondoka CDM! Pamoja na kuachana bado wanaheahimiana. Ni aibu na inaonyesha hajitambui kindoa

Ametanguliza maslahi mapana ya taifa badala ya kumfuata mwanamme ambaye amesaliti watanzania na wapenda mabadiliko. CCM ilipofikia haiwezi kufanya cha zaidi. Ni sawasawa na Mugabe na ZANUPF yake.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ametanguliza maslahi mapana ya taifa badala ya kumfuata mwanamme ambaye amesaliti watanzania na wapenda mabadiliko. CCM ilipofikia haiwezi kufanya cha zaidi. Ni sawasawa na Mugabe na ZANUPF yake.
Umeoa?
 
Mtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.

Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!

Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Wife material huyo!
 
Mtu anamdhalilisha mumewe unasema jembe! Ningekuwa Kafulila ningeachana nae, hakuna mwanamke timamu wa kwenda kuhorojoka mbele ya vyombo vya habari kisa mumewe kuhama.

Isitoshe hata jina la Kafulila kalifuta FB yake, kabakisha Jesca Kishoa... sasa huyu ni mwanamke.gani!

Aendelee kuliwa huko aliko ili apate viti vya mababies.
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, huwezi kumdhalilisha mumeo kwa itikadi za kisiasa , mjinga sana huyu mwanamke, tena mpumbavu sana, tofauti za kisiasa na ndoa ni vitu viwili tofauti
 
Na kitendo cha mkewe kuondoa jina lake la mwisho kwenye FB page yake jana la Kafululila ni ushahidi tosha kwamba ndoa hii imeyumba siku nyingi tu. Sasa sijui kama hii dhoruba inaweza kuimaliza kabisa ama wataweza kuinusuru ndoa yao.
Bubu siku hizi watu wengi wanaangalia maslahi kuliko mahaba usemacho kinaweza kuwa kweli pengine mawimbi yaliisha kichukua chombo kikenda mrama.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mh! Mume aamue aliloamua bila kumtaarifu mkewe na kumuweka mkewe njia panda maana mume alijua fika kwamba mkewe ataulizwa maswali aliyoulizwa. Mke akajibu maswali kwa kusema ukweli wote ya yale yaliyojiri leo wa kulaumiwa ni mke!!!! Mume kamfahamu mke kupitia Chadema walikokutana na wakati mume anatangatanga huku na kule mke alikuwa katulia tu Chadema.

Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, huwezi kumdhalilisha mumeo kwa itikadi za kisiasa , mjinga sana huyu mwanamke, tena mpumbavu sana, tofauti za kisiasa na ndoa ni vitu viwili tofauti
 
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, huwezi kumdhalilisha mumeo kwa itikadi za kisiasa , mjinga sana huyu mwanamke, tena mpumbavu sana, tofauti za kisiasa na ndoa ni vitu viwili tofauti
MiCCM bhana kujifanya ina nukuu biblia toka lini chama chenu kikaamini katika Mungu ? Nyie sio maetheist mnafuata mrengo wa mwenyekiti Mao !
 
Nimeona na nina watoto. Siwezi fanya maamuzi ya kitoto kama ya tumbili kuikosea heshima familia yangu na taifa kwa ujumla !
Unadhani mtu aliyeoa anakuwa na mawazo kama ya kwako! Uliza ujibiwe
 
Busara haijatumika kabisa hapo,
Kutopewa taarifa ya kuhama chama na Mme wake sio sababu ya yeye kuita media na kuanza kumchambua mwandani wake, wakati alikua na sufficient room/time for discussing.
 
Back
Top Bottom