Mke wa Kafulila ni Jembe Sana

Kweli tumbo na cheo havijawahi kumwacha mtu salama.
Yani mke anamsema mmewe kisa cheo, hapo hakuna ndoa bora kila mtu ale hamsini zake.
Ila huyu mwanamke hana busara najua wengi watamuumga mkono kwakuwa kafulila kahamia ccm wasiyoipenda ila bora hata angekaa kimya kuliko kumfhalilisha hivi.
 
Unajuaje,labda wamepanga hivyo ili wale kote kote
 
hivi huyo mke wa kafulila anajua for better for worse?
 
Ina maana hana jina mpaka mtumie jina la kafulika?
 
Imeandikwa 'mwanamke mpumbavu ataibomoa nyumba yake mwenyewe' mwisho wa kunukuu
 
Huwezi kuwa baba wa nyumbani,halafu wife ndo atoke kutafuta hela,
lazima ndoa itayumba tu,
kafulila hakuwa na jinsi ila kurudi ccm labda watamkumbuka hata ukuu wa wilaya,

na wakimsahau anaweza hata kujinyonga huyu mtu
 
never trust a politician
kumbuka jesca ni mbunge wa kuteuliwa
 
Reactions: BAK
Ametanguliza maslahi mapana ya taifa badala ya kumfuata mwanamme ambaye amesaliti watanzania na wapenda mabadiliko. CCM ilipofikia haiwezi kufanya cha zaidi. Ni sawasawa na Mugabe na ZANUPF yake.
 
Reactions: BAK
Ametanguliza maslahi mapana ya taifa badala ya kumfuata mwanamme ambaye amesaliti watanzania na wapenda mabadiliko. CCM ilipofikia haiwezi kufanya cha zaidi. Ni sawasawa na Mugabe na ZANUPF yake.
Umeoa?
 
Wife material huyo!
 
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, huwezi kumdhalilisha mumeo kwa itikadi za kisiasa , mjinga sana huyu mwanamke, tena mpumbavu sana, tofauti za kisiasa na ndoa ni vitu viwili tofauti
 
Na kitendo cha mkewe kuondoa jina lake la mwisho kwenye FB page yake jana la Kafululila ni ushahidi tosha kwamba ndoa hii imeyumba siku nyingi tu. Sasa sijui kama hii dhoruba inaweza kuimaliza kabisa ama wataweza kuinusuru ndoa yao.
Bubu siku hizi watu wengi wanaangalia maslahi kuliko mahaba usemacho kinaweza kuwa kweli pengine mawimbi yaliisha kichukua chombo kikenda mrama.
 
Reactions: BAK
Mh! Mume aamue aliloamua bila kumtaarifu mkewe na kumuweka mkewe njia panda maana mume alijua fika kwamba mkewe ataulizwa maswali aliyoulizwa. Mke akajibu maswali kwa kusema ukweli wote ya yale yaliyojiri leo wa kulaumiwa ni mke!!!! Mume kamfahamu mke kupitia Chadema walikokutana na wakati mume anatangatanga huku na kule mke alikuwa katulia tu Chadema.

Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, huwezi kumdhalilisha mumeo kwa itikadi za kisiasa , mjinga sana huyu mwanamke, tena mpumbavu sana, tofauti za kisiasa na ndoa ni vitu viwili tofauti
 
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe, huwezi kumdhalilisha mumeo kwa itikadi za kisiasa , mjinga sana huyu mwanamke, tena mpumbavu sana, tofauti za kisiasa na ndoa ni vitu viwili tofauti
MiCCM bhana kujifanya ina nukuu biblia toka lini chama chenu kikaamini katika Mungu ? Nyie sio maetheist mnafuata mrengo wa mwenyekiti Mao !
 
Nimeona na nina watoto. Siwezi fanya maamuzi ya kitoto kama ya tumbili kuikosea heshima familia yangu na taifa kwa ujumla !
Unadhani mtu aliyeoa anakuwa na mawazo kama ya kwako! Uliza ujibiwe
 
Busara haijatumika kabisa hapo,
Kutopewa taarifa ya kuhama chama na Mme wake sio sababu ya yeye kuita media na kuanza kumchambua mwandani wake, wakati alikua na sufficient room/time for discussing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…