A man from Island
JF-Expert Member
- Aug 13, 2020
- 211
- 376
Acha ujinga dogo, shemej yako, akupikie ule ushibe, bado na nguo akufulie, hauna mikono au unamaanishaje? Madogo wa siku hiz tabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana ni wale wanaochunga ng'ombe hadi miaka 20 ndio wanakwenda kuanza std1FORM 4 NA UMEJIUNGA JF MWAKA 2016 MADAKO YAKO ACHA KUTAFUTA ATTENTION
17kUnamingapi ?
bro matusi yanatoka wapi?We bwege Nini!Mimi zangu mwenyewe nafua mwenyewe.
big nooooooSii unaanza kumsifia tuu...shem leo umependeza, mara jamani kaka anafaidi...mdogo mdogo shem ataelewa
Hata kama ni hivyo kuna watu smart lakini hawaijui JF sasa huyu mchunga ng'ombe aliijuajeinawezekana ni wale wanaochunga ng'ombe hadi miaka 20 ndio wanakwenda kuanza std1
Hakuna kitu kibaya kama umaskinibaada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Huyo mwanamke hana adabu kabisa. Mwambie waziwazi kwamba bila mama yako kumzaa kaka aliyemuoa, huenda hadi sasa angekuwa anadanga tu. Kama hataki kufua nguo za ndugu wa mumewe, aondoke hapo akatafute mume mwingine aache kuwachosha watu, ebo!baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
umenifanya nicheke umeongea point ahsante sana.Hata kama ni hivyo kuna watu smart lakini hawaijui JF sasa huyu mchunga ng'ombe aliijuaje
Unawashwa au?Utakuta mleta mada ni UCD ana gallow bird
Wataka ***** weye!!baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni brothers? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu
Ushauri wewe ni mpumbavu.baada ya kumaliza mtihani wa form 4 nikaomba nikapumzike kwa kaka town. sasa nimeshangaa wakati wa kufua nguo zangu siombwi kwa ajili ya kufua, huu ni utaratibu wa wapi? huyu shem hajui kua sisi ni ndugu? nawaza nimulize ila naogopa fulani hivi. naomba ushauri wakuu